Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Mnyama Ngiri akiwa amejipumzisha kwenye tope kama alivyokutwa na kamera yetu.
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/s5pXERiKVAU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Mar
10 years ago
MichuziViongozi mbalimbali wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) wafanya ziara Bungeni Mjini Dodoma
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9qGutUG9JVw/VoOnSMuWAfI/AAAAAAAIPT8/qMI2-9wi-ZU/s640/002.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xOHbWN1SM9A/XrfHLIoVwZI/AAAAAAAEG90/EZ550BNLslgEH1754wCkXT1XoNkeMentQCLcBGAsYHQ/s72-c/SAUT.jpg)
CHUO KIKUU CHA SAUT NA KAMPUNI YA REAL PR SOLUTIONS WASAINI MAKUBALIANO YA UTEKELEZAJI WA PAMOJA MPANGO WA MAFUNZO KWA WADAU WA UTALII UJULIKANAO “UTALII MPYA WAKATI NA BAADA YA CORONA" .
Programu ya mafunzo ya kuhusu namna bora ya kuendesha, kukuza na kutambua fursa zilizopo kwenye sekta ya utalii hapa nchini inatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni jijini Mwanza.
Zaidi, mafunzo hayo yanalenga pia kuandaa wadau wa utalii hapa nchini ili waweze kutoa huduma zao kwa weledi huku wakizingatia kanuni za kiafya pindi sekta hiyo itakapoimarika baada ya kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID0-19) unaosababishwa na virus vya corona ambalo...
Zaidi, mafunzo hayo yanalenga pia kuandaa wadau wa utalii hapa nchini ili waweze kutoa huduma zao kwa weledi huku wakizingatia kanuni za kiafya pindi sekta hiyo itakapoimarika baada ya kuathirika kwa kiasi kikubwa kutokana na janga la ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID0-19) unaosababishwa na virus vya corona ambalo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JC9c7PO_bYc/Uw9nHaJIubI/AAAAAAAFQFA/IzckwA09UI0/s72-c/k1.jpg)
RAIS KIKWETE AUNGANA NA JUMUIYA YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI KAZAURA
![](http://3.bp.blogspot.com/-JC9c7PO_bYc/Uw9nHaJIubI/AAAAAAAFQFA/IzckwA09UI0/s1600/k1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SrHbP3saFd4/Uw9nH6y5ITI/AAAAAAAFQFI/dwWSfJHpkBE/s1600/k2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TAARIFA YA MSIBA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s1600/unnamed+(3).jpg)
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania