Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) wafanya ziara Bungeni Mjini Dodoma
VIONGOZI mbalimbali wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (DARUSO) leo wametinga Bungeni katika ziara ya kimafunzo na kupokelewa na Waziri wa Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni, Dk Fenela Mukangara. Wakiwa Bungeni viongozi hao ambao ni Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Mawaziri na Wabunge walijionea namna shughuli za Bunge zinavyoebndeshwa chini ya Spika Anna Makinda.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Febela Mukangara akipiga nao picha. Vijana hao walifika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
9 years ago
CCM Blog![](http://img.youtube.com/vi/s5pXERiKVAU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Mar
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s72-c/001.jpg)
WANAFUNZI WA KITIVO CHA BIASHARA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM WANUFAIKA NA SEMINA MAALUM YA MASUALA YA BIASHARA ILIYOANDALIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-m8jqrV300f0/VoOnPQvxSfI/AAAAAAAIPTw/PWCBqZ8_1ak/s640/001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9qGutUG9JVw/VoOnSMuWAfI/AAAAAAAIPT8/qMI2-9wi-ZU/s640/002.jpg)
10 years ago
Michuzi28 Mar
WANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA(TPSC) TAWI LATANGA WAFANYA ZIARA YA MAFUNZO PSPTB
Ziara hiyo ya mafunzo ililenga kujua kazi mbalimbali za Bodi ya wataalam wa ununuzi na Ugavi (PSPTB). Mkurugenzi mkuu Mtendaji wa PSPTB Dr Clemence Tesha, aliupokea ugeni huo, na kuwashukuru kwa kuona nia ya kufanya ziara ya mafunzo. Aidha aliwaelezea umuhimu...
10 years ago
Dewji Blog29 Mar
Wanafunzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC) tawi la Tanga wafanya ziara ya mafunzo PSPTB
Wageni wakiwasili kwenye ofisi za Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa PSPTB, Dr Tesha akitoa hutuba ya ufunguzi kuwakaribisha wanachuo wa mwaka wa pili wa stashahada ya Ununuzi na Ugavi kutoka chuo cha TPSC Utumishi wa Umma tawi la Tanga.
Wanachuo wakimsiliza Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Bodi Dr. Tesha.
Mkurugenzi ya Mafunzo, Bw. Godfred Mbanyi akielezea juu ya madaraja ya mitihani ya Bodi na taratibu za kufanya mitihani.
Bw. Ally Songoro kutoka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s72-c/HUNDI.jpg)
Mahafali ya tano ya chuo kikuu cha St. John's mjini Dodoma yafana sana leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-LhmxyhvgnX8/VIRZcSF3ZCI/AAAAAAAA-oM/Ww-VuC0Hpcc/s1600/HUNDI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aloSPf7LvDY/VIRZZx-wdiI/AAAAAAAA-n4/tNZhcR6xau8/s1600/WAHITIM.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-S7ZOH3sdfXc/VIRZbmTb1aI/AAAAAAAA-oA/B6OBbXlA4v4/s1600/WAHTM.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-94tGk6KE4gM/VIRZb7nRsLI/AAAAAAAA-oE/xLr6U6BXT3U/s1600/WAHITIMU.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hVwjZdXVIqo/VIRZelKPiVI/AAAAAAAA-og/fIBB0YLc_LU/s1600/WAAAANDAISHI.jpg)
10 years ago
VijimamboWANAFUNZI WA CHUO CHA UTUMISHI WA UMA MBEYA MAFUNZONI BUNGENI DODOMA HII LEO