Taarifa ya Uzinduzi wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo31 Aug
TAARIFA YA NDUGU JOSEPH MUNGAI KUHUSU UJENZI WA SHULE ZA KATA NA CHUO KIKUU CHA UDOM. 5/3/2015:
![](http://api.ning.com/files/M8fY2*UDgJxDva8cen0vQl0mCTu3SgDG0qpclwag6oClgy6GkCCn3z4YW0M117uq6A8OUGpoc9HvP9d2*RNaKMKCDds-*LnD/3.jpg)
Shule za sekondari za kata zilijengwa na nguvu za wananchi wenyewe serikali ya awamu ya Tatu chini ya Rais Benjamin W. Mkapa ndio ilihamazisha kila kata nchini nzima kuwe na sekondari waziri wa elimu nikiwa mimi Joseph Mungai.
Nikiwa waziri wa elimu na utamaduni wakati huo niliteua kikosi kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qPqVjC2PQnI/VFyub2sYg0I/AAAAAAAGv9k/_g3OhrUzWak/s72-c/MMGM0007.jpg)
Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuzinduliwa kesho jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-qPqVjC2PQnI/VFyub2sYg0I/AAAAAAAGv9k/_g3OhrUzWak/s1600/MMGM0007.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya Exim yachangia fedha Chuo Kikuu cha UDOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-QTxMhUqZpR0/VVmdNsKqOyI/AAAAAAAC4n8/WdFMXePpnI0/s640/unnamed.jpg)
BENKI ya Exim Tanzania imechangia fedha kiasi cha shilingi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s72-c/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s1600/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhFLeolf9sM/VIRZU27nLGI/AAAAAAAA-ng/hywKAl8CAAY/s1600/MGENI%2BRASMI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf6rqYv4Pdo/VIRZUn4RaxI/AAAAAAAA-nY/QmoC9lkndoU/s1600/MKUU%2BWA%2BSKULI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v5t-DEMmAVw/VIRZYEOJ5yI/AAAAAAAA-nw/SS7KNrcdkNg/s1600/KIAPO%2BCHA%2BWAUGUZI.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lEcTTlNrLq4/UyrKPg_wYlI/AAAAAAAFVGI/d3S4FlAHBWk/s72-c/Hili+ni+ghorofa+la+chuo+kikuu+UDOM+alipojirusha+mwanafunzi+huyo+toka+ghorofa+ya+pili..jpg)
MWANAFUZI WA CHUO KIKUU DODOMA - UDOM AJIRUSHA TOKA GHOROFA YA PILI HADI CHINI NA KUSABABISHA MAJERAHA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI WAKE.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lEcTTlNrLq4/UyrKPg_wYlI/AAAAAAAFVGI/d3S4FlAHBWk/s1600/Hili+ni+ghorofa+la+chuo+kikuu+UDOM+alipojirusha+mwanafunzi+huyo+toka+ghorofa+ya+pili..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cTnYO3r4ZLs/UyrKQd_GS_I/AAAAAAAFVGQ/3qn3EFFSDBA/s1600/Muonekano+wa+ghorofa+hilo+alipojirusha+mwanafunzi+huyo..jpg)
Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Dodoma – UDOM aliyefahamika kwa jina la KAMUGISHA S/O ISACK, Miaka 24, Mhaya, Mwaka wa Tatu, Kitivo cha Sayansi ya Jamii (Social Science) anayeishi Block Namba 11, chumba Namba 62, alijitupa kutoka ghorofa ya pili hadi chini na kusababisha...
10 years ago
Michuzi15 Jan
Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini
![](https://2.bp.blogspot.com/-Nlbme-No0hU/VLaASBbyRmI/AAAAAAADL6M/WOhgf4mDRQc/s1600/6.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-AQu2fkOQeaw/VLaAQNE7pUI/AAAAAAADL6I/-6Z4UmatMDk/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-R5XjpaarlVc/VC_Mr9kNtyI/AAAAAAAGnto/dsSJ-t_nHQc/s1600/u2.jpg)
JK ATEMBELEA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA UDOM, AFUNGA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI DODOMA
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo kutoka kwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Shaaban Mlacha na Makamu Mkuu wa Chuo hicho Profesa Idris Kikula (tai nyekundu) alipofanya ziara ya ghafla kukagua maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Chuo  cha Sayansi ya  Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu cha chuo hicho mjini Dodoma Ijumaa Oktoba 3, 2014. Alikuta ujenzi umeshakamilika na kilichobaki ni...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s72-c/unnamed+(3).jpg)
TAARIFA YA MSIBA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-QoahvC0Oiv8/U4sAL90JAFI/AAAAAAAFm5c/ZLod_XE9CWI/s1600/unnamed+(3).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
Baadhi ya wahadhiri wa MoCU (MOSHI CO-OPETATIVE UNIVERSITY) wakiwa kwenye picha ya pamoja.. Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhe. Philemon Luhanjo (wa nne kulia waliokaa ) akiwa katika picha ya wajumbe wa bodi na wahadhiri wa chuo hicho. CHUO Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCOBS), kimekuwa chuo kikuu rasmi ambapo kwa sasa kitaitwa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (MoCU). Taarifa hiyo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania