CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
Baadhi ya wahadhiri wa MoCU (MOSHI CO-OPETATIVE UNIVERSITY) wakiwa kwenye picha ya pamoja.. Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Mhe. Philemon Luhanjo (wa nne kulia waliokaa ) akiwa katika picha ya wajumbe wa bodi na wahadhiri wa chuo hicho. CHUO Kikuu Kishiriki cha Ushirika na Biashara Moshi (MUCCOBS), kimekuwa chuo kikuu rasmi ambapo kwa sasa kitaitwa Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (MoCU). Taarifa hiyo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
Chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) chafanya mahafali ya kwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-QwyUVrtkHmY/VmUIJ4iYwdI/AAAAAAAAX2U/lAKp5JDX8lM/s640/IMG_0765%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-raf9KnKpwN0/VmUISs0riyI/AAAAAAAAX2s/BkJ2547IHSI/s640/IMG_0781%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rdY2ptC4t-k/VmUIVD4MnMI/AAAAAAAAX20/F1-p8I7f-lk/s640/IMG_0783%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bSGf8tfQqkQ/VmUIWPRpNHI/AAAAAAAAX28/nuYszaaBToA/s640/IMG_0784%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FmIRDCFFnWU/VmUHKcEInmI/AAAAAAAAXzc/_iSslFvD_Oc/s640/IMG_0698%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vVT5yNEVD1I/VmUHUiQnG4I/AAAAAAAAXz8/3o17pyG3Ytc/s640/IMG_0708%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6as9Yy-xIHs/VmUIFudE-OI/AAAAAAAAX2M/Yv7BxaQW7rU/s640/IMG_0761%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboDATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE
10 years ago
MichuziMDAU DATIUS JOVIT ALAMBA NONDOZ YA ELIMU YA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA DUCE
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Hkci_94gfZE/VWsONryzTAI/AAAAAAADpRA/uzaDvbEMQoc/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA MARIAN BAGAMOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hkci_94gfZE/VWsONryzTAI/AAAAAAADpRA/uzaDvbEMQoc/s640/01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7pGUsCjRzU8/VWsOPF3ULyI/AAAAAAADpRo/V8XhEMJvOzU/s640/1B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9pfoQgBR-aQ/VWsONonhaDI/AAAAAAADpQ8/D3U8aKLObzY/s640/02.jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal azindua chuo kikuu kishiriki cha Marian Bagamoyo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Pengo, kwa pamoja wakikata utepe kuzindua Chuo Kikuu Kishiriki cha Marian mjini Bagamoyo, leo Mei 31, 2015. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Katoliki Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Pengo, kwa pamoja wakifunua kitambaa kama ishara ya kuweka Jiwe la...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-FV8svHWli-0/VCJUmoQZhOI/AAAAAAAABsU/FyjToqZ-ObE/s72-c/muccobs.png)
MUCCoBS chapandishwa hadhi kuwa Chuo Kikuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-FV8svHWli-0/VCJUmoQZhOI/AAAAAAAABsU/FyjToqZ-ObE/s1600/muccobs.png)
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Philemon Luhanjo, alitangaza hatua hiyo juzi mjini hapa, mbele ya viongozi wa serikali mkoa wa Kilimanjaro, uongozi na watumishi wa MUCCoBS.
Baada ya kupandishwa hadhi chuo hicho, sasa kitaitwa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, kikiwa chini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WALIOFANYA VIZURI KITAALUMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA (MOCU) WAKABIDHIWA ZAWADI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Habarileo04 Mar
Chuo Kikuu cha Stefano Moshi chakabidhiwa majengo
CHUO Kikuu Kishiriki cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) cha mkoani Kilimanjaro, kimekabidhiwa majengo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa mkataba wa miaka mitano, lengo likiwa ni kuboresha maendeleo ya elimu nchini.