MUCCoBS chapandishwa hadhi kuwa Chuo Kikuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-FV8svHWli-0/VCJUmoQZhOI/AAAAAAAABsU/FyjToqZ-ObE/s72-c/muccobs.png)
Na Rodrick Makundi, MoshiSERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imekipandisha hadhi Chuo Kikuu kishiriki cha Ushirika Moshi (MUCCoBS) cha mkoani Kilimanjaro, kuwa Chuo Kikuu rasmi.
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Philemon Luhanjo, alitangaza hatua hiyo juzi mjini hapa, mbele ya viongozi wa serikali mkoa wa Kilimanjaro, uongozi na watumishi wa MUCCoBS.
Baada ya kupandishwa hadhi chuo hicho, sasa kitaitwa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, kikiwa chini...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s72-c/pinda%2Bmizengo.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA CHUO KIKUU DAR NA CHUO KIKUU HURIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-giPeU1UMfdo/VDkyqUdscCI/AAAAAAAGpL4/QLYLeHIrSKo/s1600/pinda%2Bmizengo.jpg)
Ametoa kauli hiyo jana usiku (Ijumaa, Oktoba 10, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya Chuo Kikuu Huria (OUT) mara baada ya kuzindua jengo la ghorofa 10 linalojulikana kama Ghorofa la Elimu ya Masafa ya Huria (Open Distance...
10 years ago
MichuziChuo Kikuu cha Uhio chaendesha mafunzo kwa vijana kuwa viongozi bora
Chuo Kikuu cha Uhio nchini Marekani kinaendesha mafunzo kwa vijana ya kuwa viongozi bora katika nchi zilizopo katika jangwa la Sahara.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Katibu wa Kwanza wa Mawasiliano ya Umma wa Ubalozi wa Marekani nchini,Marissa Maurer amesema kuwa program ya kutoa mafunzo kwa viongozi vijana imaeazishwa na Chuo Kikuu Cha Uhio nchini Marekani ambapo fedha inayoendesha mafunzo ni ya serikali ya watu Marekani...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s72-c/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU KIKUU CHA ST, JOHN DODOMA YAFANA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rMgwFtBQ00g/VIRZWNvqDlI/AAAAAAAA-nk/E9LAyTMNX10/s1600/MKUU%2BWA%2BCHUO.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qhFLeolf9sM/VIRZU27nLGI/AAAAAAAA-ng/hywKAl8CAAY/s1600/MGENI%2BRASMI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yf6rqYv4Pdo/VIRZUn4RaxI/AAAAAAAA-nY/QmoC9lkndoU/s1600/MKUU%2BWA%2BSKULI.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v5t-DEMmAVw/VIRZYEOJ5yI/AAAAAAAA-nw/SS7KNrcdkNg/s1600/KIAPO%2BCHA%2BWAUGUZI.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Sep
Chuo cha Nyuki kupandishwa hadhi
SERIKALI imeahidi kupandisha hadhi ya Chuo cha Mafunzo ya Nyuki mkoani Tabora, kuvutia wanafunzi wengi zaidi kutoka ndani na nje ya nchi kujiunga nacho. Hayo yalibainishwa juzi na Waziri wa Maliasili na Utalii , Lazaro Nyalandu aliyekuwa mgeni rasmi katika mahafali ya tatu ya chuo hicho.
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Chuo cha nyuki Tabora kupandishwa hadhi
SERIKALI imeahidi kupandisha hadhi ya Chuo cha Mafunzo ya Nyuki kilichopo mkoani hapa ili kuwavutia wanafunzi wengi zaidi kutoka ndani na nje ya nchi kujiunga na chuo hicho. Hayo, yalibainishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7qHsoaGS8qk/VANyNL0MN4I/AAAAAAAGYks/KjUJrLCzSF0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
CHUO CHA MAFUNZO YA NYUKI TABORA KUPANDISHWA HADHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7qHsoaGS8qk/VANyNL0MN4I/AAAAAAAGYks/KjUJrLCzSF0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Chadema: Z’bar kupoteza hadhi ya kuwa nchi
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Jack Ma: Bilionea anayejaribu kumaliza virusi vya corona na kurejesha hadhi ya China kuwa juu