Chadema: Z’bar kupoteza hadhi ya kuwa nchi
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Zanzibar, kimesema Zanzibar ipo katika hatari ya kupoteza hadhi ya kuwa nchi iwapo wananchi watapitisha Katiba Inayopendekezwa kupitia kura ya maoni itakayofanyika mwakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-FV8svHWli-0/VCJUmoQZhOI/AAAAAAAABsU/FyjToqZ-ObE/s72-c/muccobs.png)
MUCCoBS chapandishwa hadhi kuwa Chuo Kikuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-FV8svHWli-0/VCJUmoQZhOI/AAAAAAAABsU/FyjToqZ-ObE/s1600/muccobs.png)
Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), Philemon Luhanjo, alitangaza hatua hiyo juzi mjini hapa, mbele ya viongozi wa serikali mkoa wa Kilimanjaro, uongozi na watumishi wa MUCCoBS.
Baada ya kupandishwa hadhi chuo hicho, sasa kitaitwa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, kikiwa chini...
5 years ago
BBCSwahili26 Apr
Jack Ma: Bilionea anayejaribu kumaliza virusi vya corona na kurejesha hadhi ya China kuwa juu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yHGnSvX1lAI/XpDEM_xcqyI/AAAAAAALmwQ/qxXVbAB7ApQilirfWzn5WYzwhy-Z1nBMQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
SERIKALI YASEMA LICHA YA MIPAKA YA NCHI KUJIFUNGA WAGENI WACHACHE WANAOINGIA NCHINI WANAHUDUMIWA KWA HADHI SAWA NA MATAIFA MENGINE DUNIANI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yHGnSvX1lAI/XpDEM_xcqyI/AAAAAAALmwQ/qxXVbAB7ApQilirfWzn5WYzwhy-Z1nBMQCLcBGAsYHQ/s640/maxresdefault.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Kanali Wilbert Augustine Ibuge ameyasema hayo alipofanya ziara...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
10 years ago
Mtanzania09 May
Chadema yaachiwa jimbo moja Z’bar
NA SARAH MOSSI, ZANZIBAR
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), umeridhia Chama cha Wananchi (CUF) kusimamisha wagombea wake wa nafasi ya ubunge katika majimbo yote ya uchaguzi visiwani Zanzibar, isipokuwa katika Jimbo la Kikwajuni.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Makao Makuu ya CUF, Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Uchaguzi wa CUF, Omar Ali Sheikh, alisema Ukawa wamekubaliana katika Jimbo la Kikwajuni watasimamisha mgombea ubunge kutoka Chadema ambaye ni Salum Mwalimu.
Mwalimu ni Naibu...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Chadema Z’bar yakosoa umoja wa kitaifa
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Kiongozi wa zamani Chadema Z’bar ang’atuka
10 years ago
Dewji Blog13 Sep
Fred Mpendazoe kumrithi Arfi Umakamu Chadema Bar?
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fred Mpendazoe.
Na Mwandishi wetu
Aliyekuwa mgombea wa ubunge katika Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Fred Mpendazoe amejitokeza kuwania nafasi ya Makamu mwenyekiti wa chama hicho.
Mpendazoe ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Kishapu kupitia CCM kabla ya kujiuzulu wadhifa huo na kujiunga na Chadema ametangaza msimamo wake akisema kuwa atasimamia ajenda...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Maalim Seif: Najisikia raha kuwa mgombea pekee wa urais Z’bar