Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima
>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Chadema waanza safari ya kupinga Katiba nchi nzima
11 years ago
Dewji Blog30 May
Dkt. Bila afungua mkutano wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa nchi za maziwa makuu na nchi majirani za umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA)
kamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Mkutano Maalum wa tatu wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Maziwa Makuu na Nchi Majirani zinazounda Umoja wa kudhibiti Silaha ndogo (RECSA), uliofanyika leo mchana kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam. Umoja huo unaundwa na nchi 15 ambazo ni Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Ethiopia, Somalia, Sudan, Sudan Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC),...
10 years ago
GPLCHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA
10 years ago
MichuziCHADEMA YAENDELEA KUKOMAA YASISITIZA MAANDAMANO YAPO PALE PALE NCHI NZIMA KUANZIA KESHO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s72-c/02.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILA AFUNGUA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MAWAZIRI WA NCHI ZA MAZIWA MAKUU NA NCHI MAJIRANI ZA UMOJA WA KUDHIBITI SILAHA NDOGO (RECSA).
![](http://1.bp.blogspot.com/-8yYdnClpwTE/U4d1UcmbArI/AAAAAAAFmUo/V9mfgDWoBwA/s1600/02.jpg)
9 years ago
Habarileo23 Dec
Bomoabomoa nchi nzima
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesimamisha kazi ya bomoabomoa kwa siku 15 kwa wavamizi waliojenga katika Bonde la Mto Msimbazi, Dar es Salaam na kuwataka wavamizi hao kubomoa wenyewe na kuondoka maeneo hayo, kabla ya kazi hiyo kuanza tena Januari 5, mwakani.
10 years ago
Mwananchi02 Nov
Taboa yaonya ajali kuzidi kutikisa nchi
11 years ago
Habarileo23 Jun
Bodaboda zabanwa nchi nzima
POLISI imetangaza operesheni nchi nzima ya kukamata madereva wa pikipiki (bodaboda), wasiofuata sheria za usalama barabarani, wakiwemo wanaopita taa nyekundu bila kuruhusiwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSXiSXgTwcuz2ToHDxDhbZMmld4XfjIQ2-MZv9WGzJ0ixkvBYwX*qyIWEvQhNPGtSdpgl2jIGTEfMoZYLXbIps55/escore270.gif)
ESCROW MPASUKO NCHI NZIMA