Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taboa yaonya ajali kuzidi kutikisa nchi

Chama cha wamiliki wa mabasi (Taboa),kimeonya ajali kuendelea kutikisa nchi, kama Trafiki hawatazinduka na kudhibiti uchakachuaji katika utoaji wa leseni daraja C kwa madereva wa mabasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Samia ataka nchi kuzidi kuombewa

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ina utajiri mkubwa unaoangaliwa na watu wa mataifa mbalimbali hivyo kuwaomba viongozi wa dini kuwaombea ili wapate viongozi watakaouangalia utajiri wa Tanzania kwa ajili ya Watanzania wenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema kutikisa nchi; Helikopta tatu kurushwa nchi nzima

>Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuanzia leo, kinarusha helkopta tatu kwa siku 14 mfululizo, katika  kutekeleza kampeni iliyopewa jina la Operesheni Pamoja Daima (ODB) itakayoendeshwa katika mikoa yote nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania kuzidi kufaidika na Lions Clubs

KLABU ya Lions International na wadau wengine wanatarajia kukusanya jumla ya dola milioni 60 za Marekani ifikapo mwaka 2017, ili kuimarisha kampeni ya chanjo ya surua na rubella barani Afrika,...

 

10 years ago

Mwananchi

Muziki una faida kuzidi dansi na starehe

Hamu ya baadhi ya Waafrika kukimbilia Uzunguni imechemka tena.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA yaipa somo TABOA

BARAZA Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), limetoa wito kwa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Nchini (TABOA) kuhakikisha madereva wanaacha tabia ya kuendesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24

CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani