Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUMATRA yaipa somo TABOA

BARAZA Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), limetoa wito kwa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Nchini (TABOA) kuhakikisha madereva wanaacha tabia ya kuendesha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi

Dar es Salaam. Serikali imewapa Wamiliki wa Mabasi (Taboa) wiki mbili za kutafakari namna gani watapata hasara, iwapo watatumia nauli mpya zilizopendekezwa na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra).

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal akutana na uongozi wa SUMATRA, TRA, TABOA, RC-DSM na Waziri wa Fedha Ikulu kwa mazungumzo

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL, AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA ECG NA AL KAN KUTOKA MISRI, IKULU DAR.

001

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Wafanyabiashara wa ECG na Al Kan kutoka nchini Misri, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 29, 2015 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).

003

004

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara wa ECG AL...

 

11 years ago

Mwananchi

WB yaipa somo la gesi Tanzania

Benki ya Dunia imetoa somo la gesi kwa Watanzania kwa kuwataka kuzalisha rasilimali hiyo kwa viwango vya kimataifa huku kampuni zitakazoisambaza zukishauriwa kuwa na uwezo wa kutosha.

 

11 years ago

Mwananchi

Iran yaipa Tanzania somo la uchumi

>Tanzania imetakiwa kuimarisha kilimo cha mazao ya chakula na biashara kwa kuwa ndiyo yanayoweza kuisaidia Tanzania kupiga hatua za maendeleo na si kuangalia ugunduzi wa gesi, mafuta na urani.

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AKUTANA NA UONGOZI WA SUMATRA, TRA, TABOA, RC-DSM NA WAZIRI WA FEDHA IKULU KWA MAZUNGUMZO, PIA AKUTANA NA WAFANYABIASHARA WA ECG NA AL KAN KUTOKA MISRI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (TABOA) TRA, SUMATRA, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Waziri wa Fedha, wakati walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Julai 29, 2015.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa SUMATRA, TRA, na Wamiliki wa Mabasi Tanzania TABOA, Mkuu...

 

10 years ago

Mwananchi

Wama, CCBRT, Taboa kuikabili fistula

Hospitali ya CCBRT ikishirikiana na Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani (Taboa) na Taasisi ya Wanawake (Wama), wamezindua kampeni ya kitaifa dhidi ya fistula ya uzazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24

CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...

 

11 years ago

Mwananchi

Taboa yaombwa kukomesha ulanguzi wa tiketi

Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi kavu na Majini limekitaka Chama cha Wamiliki wa Mabasi (Taboa) kukomesha vitendo vya ulanguzi wa tiketi vinavyoendelea kuelekea kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka.

 

9 years ago

Habarileo

Katibu Taboa atakiwa kuachia uongozi

WANACHAMA wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) wamemtaka Katibu Mkuu wa chama hicho, Enea Mrutu kuachia uongozi kwa madai ya kushindwa kufatilia maslahi yao serikalini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani