Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taboa yaombwa kukomesha ulanguzi wa tiketi

Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi kavu na Majini limekitaka Chama cha Wamiliki wa Mabasi (Taboa) kukomesha vitendo vya ulanguzi wa tiketi vinavyoendelea kuelekea kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ulanguzi wa tiketi Ubungo watisha

Baadhi ya mawakala wa kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam, wanatuhumiwa kununua tiketi za mabasi kisha kuziuza kwa walanguzi ambao nao huwauzia wasafiri waendao mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa kwa Sh70,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo

Nauli za mabasi ya mikoani na nchi jirani zimeendelea kupanda, na sasa Mikoa ya Iringa na Tanga nayo imeguswa na ongezeko hilo.

 

9 years ago

Global Publishers

Kamanda Mpiga akwamisha ulanguzi tiketi Ubungo

2.Kamanda Mpinga akiwa ndani ya Basi la kuelekea Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.Kamanda Mpinga akiwa ndani ya basi la kuelekea mkoani Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.
3.Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea Mkoani Tanga wakimsikiliza kwa Makini kamanda wa polisi kikosi cha usalama barabarani nchini,Mohammed Mpinga.Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoani Tanga wakimsikiliza Mpinga.
4.Kamanda Mpianga na Kamishna Msaidizi wa kanda maalum ya polisi Dar es Samaam, Peter Sima (kushoto) wakiwa ndani ya moja ya basi.Kamanda Mpinga na Kamishna Sima wakiwa ndani ya moja ya mabasi kituoni hapo.
5.Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi stendi ya Ubungo Dar.Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi baada ya kuchukua maoni ya abiria.
6.Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda iliyoko kwenye viti vyao vya kukalia.Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda kwenye viti vya kukalia
7.Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna msaidizi wa  kanda maalum ya polisi Dar es alaam, Peter Sima.Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Ujenzi wa reli utakomesha ulanguzi tiketi za mabasi

Kila inapokaribia sikukuu ya Krismasi, wananchi jijini Dar es Salaam wanaosafiri kwa mabasi kwenda makwao kusherehekea sikukuu hiyo pamoja na kupata mapumziko ya mwisho wa mwaka hulazimika kulipa viwango vikubwa vya nauli. Mawakala wa mabasi, hasa waliopo katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT), hutoza nauli maradufu bila kujali sheria wala maelekezo ya Sumatra.

 

11 years ago

Tanzania Daima

SUMATRA yaipa somo TABOA

BARAZA Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), limetoa wito kwa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Nchini (TABOA) kuhakikisha madereva wanaacha tabia ya kuendesha...

 

10 years ago

Mwananchi

Wama, CCBRT, Taboa kuikabili fistula

Hospitali ya CCBRT ikishirikiana na Chama cha Wamiliki wa Mabasi yaendayo Mikoani (Taboa) na Taasisi ya Wanawake (Wama), wamezindua kampeni ya kitaifa dhidi ya fistula ya uzazi.

 

9 years ago

Habarileo

Katibu Taboa atakiwa kuachia uongozi

WANACHAMA wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) wamemtaka Katibu Mkuu wa chama hicho, Enea Mrutu kuachia uongozi kwa madai ya kushindwa kufatilia maslahi yao serikalini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

TABOA: Serikali iruhusu huduma saa 24

CHAMA cha Wasafirishaji Abiria mikoani na nchi jirani (TABOA), kimeshauri serikali kuruhusu mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kusafirisha abiria saa 24. Mwenyekiti mstaafu wa chama hicho, Mohammed Abdullah, alieleza...

 

10 years ago

TheCitizen

Taboa seeks to extend bus speed limit

 Tanzania Bus Owners Association (Taboa) plans to request the government to extend the maximum speed limit from the current 80 to 100 kilometres per hour.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani