Ulanguzi wa tiketi Ubungo watisha
Baadhi ya mawakala wa kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam, wanatuhumiwa kununua tiketi za mabasi kisha kuziuza kwa walanguzi ambao nao huwauzia wasafiri waendao mikoa ya Kaskazini na Kanda ya Ziwa kwa Sh70,000.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Kamanda Mpiga akwamisha ulanguzi tiketi Ubungo
Kamanda Mpinga akiwa ndani ya basi la kuelekea mkoani Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.
Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoani Tanga wakimsikiliza Mpinga.
Kamanda Mpinga na Kamishna Sima wakiwa ndani ya moja ya mabasi kituoni hapo.
Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi baada ya kuchukua maoni ya abiria.
Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda kwenye viti vya kukalia
Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi wa...
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Taboa yaombwa kukomesha ulanguzi wa tiketi
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Ubungo hali shwari, ulanguzi umekwisha
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Ujenzi wa reli utakomesha ulanguzi tiketi za mabasi
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Tiketi Ubungo kizungumkuti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
ABIRIA waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT).
MTANZANIA lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro.
Katika tukio hilo, baadhi ya abiria walivuruga utaratibu wa foleni kwa kuwavuka wenzao na kujisogeza...
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Mlangua tiketi Ubungo ajihami kwa kinyesi
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Video: Kama hujakata tiketi ya basi Ubungo siku 3 kabla, ni noma…!
Tukiwa tunaelekea katika msimu wa sikukuu za Christmas na Mwaka mpya, najua kuna watu wengi hupendelea kutumia kipindi kama hiki kusafiri kwaajili ya kuwatembelea ndugu na jamaa. Sasa nina hili muhimu la kuhakikisha unalifahamu kama unampango wa kusafiri hivi karibuni. Kwenye hii video hapa chini kuna taarifa kamili, Bonyeza Play kuipata Unataka kutumiwa MSG za habari […]
The post Video: Kama hujakata tiketi ya basi Ubungo siku 3 kabla, ni noma…! appeared first on...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.