Ujenzi wa reli utakomesha ulanguzi tiketi za mabasi
Kila inapokaribia sikukuu ya Krismasi, wananchi jijini Dar es Salaam wanaosafiri kwa mabasi kwenda makwao kusherehekea sikukuu hiyo pamoja na kupata mapumziko ya mwisho wa mwaka hulazimika kulipa viwango vikubwa vya nauli. Mawakala wa mabasi, hasa waliopo katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo (UBT), hutoza nauli maradufu bila kujali sheria wala maelekezo ya Sumatra.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Ulanguzi wa tiketi Ubungo watisha
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Taboa yaombwa kukomesha ulanguzi wa tiketi
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Kamanda Mpiga akwamisha ulanguzi tiketi Ubungo
Kamanda Mpinga akiwa ndani ya basi la kuelekea mkoani Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.
Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoani Tanga wakimsikiliza Mpinga.
Kamanda Mpinga na Kamishna Sima wakiwa ndani ya moja ya mabasi kituoni hapo.
Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi baada ya kuchukua maoni ya abiria.
Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda kwenye viti vya kukalia
Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi wa...
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Mafuriko yasomba reli, abiria watumia mabasi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yJIhgJSKIn0/XoiguqGYCcI/AAAAAAALmBo/MmNOhuoQIjkjDNe8_YBpzD1V39DsqeHGwCLcBGAsYHQ/s72-c/1df05553-8bae-4095-a59d-5876c22fb981.jpg)
SHIRIKA LA RELI TANZANIA LAZINDUA MFUMO UKATAJI TIKETI KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI
Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mgeni rasmi Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhe. Isack Kamwele, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRC Prof. John Wajanga Kondoro, Kaimu Mkurugenzi Mkuu Ndugu Focus ,Mwakilishi kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao Bwana Benedictor...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0rmqsATrDEQ/VIAN6WiivJI/AAAAAAAG1II/D4jTtPM4r3o/s72-c/fb9a98852fbf5d4dfe314793ef198f60.jpg)
SUMATRA yaanza ukaguzi wa tiketi katika mabasi yaendayo mikoani
![](http://4.bp.blogspot.com/-0rmqsATrDEQ/VIAN6WiivJI/AAAAAAAG1II/D4jTtPM4r3o/s1600/fb9a98852fbf5d4dfe314793ef198f60.jpg)
SUMATRA imefikia uamuzi huo baada ya kubaini kuwa kuna baadhi ya vyombo vya usafiri hasa mabasi ya Mikoani kuwa na tabia ya kuongeza nauli hasa katika kipindi hiki cha msimu sikukuu za Krismas na Mwaka mpya,ambapo mapema leo asubuhi maafisa wa Mamlaka ya Usafirishaji Tanzania (SUMATRA) walitia timu katika...
11 years ago
Habarileo29 Apr
Ujenzi reli ya kati wapigwa jeki
BODI ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia imeidhinisha msaada wa dola za Marekani milioni 300 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) kwa ajili ya kuongeza nguvu jitihada za Serikali katika mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya reli.
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Ahadi ya JPM ya ujenzi wa reli kuanza