Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujenzi reli ya kati wapigwa jeki

BODI ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia imeidhinisha msaada wa dola za Marekani milioni 300 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) kwa ajili ya kuongeza nguvu jitihada za Serikali katika mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya reli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Magereza makete wapigwa jeki ujenzi wa zahanati

Na Amiri kilagalila,Njombe Mkuu wa Gereza la Ndulamo wilayani Makete mkoani Njombe amewaomba wadau mbali mbali kujitokeza kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa zahanati ya gereza hilo ili kuokoa maisha na kuimarisha usalama kwa wafungwa na mahabusu ndani ya gereza. Gereza la wilaya ya Mkete (Ndulamo) lililopo wilayani Makete, ni moja kati ya magereza yanayopatikana ndani ya mkoa wa Njombe.Moja ya changamoto kubwa hapa inayoelezwa na Aloyce kayela mrakibu mwandamizi wa magereza wilaya ya Makete...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi Reli ya Kati utatukomboa kiuchumi

Kama kuna mradi hapa nchini ambao umezungumzwa kwa muda mrefu pasipo kutekelezwa, basi mradi huo ni ujenzi wa Reli ya Kati. Kwa zaidi ya miongo miwili sasa, viongozi wamekuwa wakitoa ahadi za ujenzi wa reli hiyo na kutoa matumaini kwa wananchi kwamba kero ya usafiri wa abiria na mizigo katika reli hiyo itamalizika muda siyo mrefu

 

9 years ago

Habarileo

Ujenzi Reli ya Kati kuanza mwezi huu

WAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa anasahau haraka na kuanza kunadi miradi ambayo imeshaanza kujengwa na Rais Jakaya Kikwete kupitia Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

11 years ago

Mwananchi

Simulizi za ujenzi Reli ya Kati zifike tamati

Kama kuna mradi hapa nchini ambao umezungumzwa kwa muda mrefu sana pasipo kutekelezwa, basi mradi huo ni ujenzi wa Reli ya Kati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Utafiti barani wapigwa jeki

Hazina ya kufadhili utafiti wa sayansi imeanzishwa barani Afrika kuimarisha hali ya maisha ya raia wa bara hili

 

10 years ago

Tanzania Daima

Msalaba mwekundu ‘wapigwa jeki’

CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja, kimepokea msaadawa vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili wawezekufanya kazi kwa ufanisi. Msaada huo ulikabidhiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Wajasiriamali wacheza bao wapigwa jeki

MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amekichangia Sh 500,000 kikundi cha wajasiriamali wa Mlandege mjini Iringa kinachoundwa na wacheza bao 154.

 

11 years ago

Habarileo

Reli ya kati kuimarishwa

WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe, amesema Reli ya Kati itakuwa imefufuliwa ifikapo mwishoni mwa mwaka huu na kuanza kubeba mizigo itakayookoa barabara.

 

10 years ago

Mwananchi

‘Tumieni reli ya kati kibiashara’

Wafanyabiashara wameshauriwa kusafirisha mizigo yao kwa kutumia Reli ya Kati iliyofanyiwa maboresho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani