Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti barani wapigwa jeki

Hazina ya kufadhili utafiti wa sayansi imeanzishwa barani Afrika kuimarisha hali ya maisha ya raia wa bara hili

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Msalaba mwekundu ‘wapigwa jeki’

CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja, kimepokea msaadawa vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili wawezekufanya kazi kwa ufanisi. Msaada huo ulikabidhiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Ujenzi reli ya kati wapigwa jeki

BODI ya Wakurugenzi ya Benki ya Dunia imeidhinisha msaada wa dola za Marekani milioni 300 kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Maendeleo (IDA) kwa ajili ya kuongeza nguvu jitihada za Serikali katika mradi wa ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya reli.

 

11 years ago

Habarileo

Wajasiriamali wacheza bao wapigwa jeki

MWENYEKITI wa CCM Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu amekichangia Sh 500,000 kikundi cha wajasiriamali wa Mlandege mjini Iringa kinachoundwa na wacheza bao 154.

 

5 years ago

Michuzi

Magereza makete wapigwa jeki ujenzi wa zahanati

Na Amiri kilagalila,Njombe Mkuu wa Gereza la Ndulamo wilayani Makete mkoani Njombe amewaomba wadau mbali mbali kujitokeza kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa zahanati ya gereza hilo ili kuokoa maisha na kuimarisha usalama kwa wafungwa na mahabusu ndani ya gereza. Gereza la wilaya ya Mkete (Ndulamo) lililopo wilayani Makete, ni moja kati ya magereza yanayopatikana ndani ya mkoa wa Njombe.Moja ya changamoto kubwa hapa inayoelezwa na Aloyce kayela mrakibu mwandamizi wa magereza wilaya ya Makete...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Huduma ya afya yapigwa jeki

SHIRIKA la Walter  Red Program (HJFMRI) limetoa msaada wa pikipiki 24 zenye thamani ya sh. 52,800,000 kwa Halmashauri za Mkoa wa Katavi kwa ajili ya kutolea huduma za afya ili kusaidia ufuatiliaji wa wagonjwa ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

China yaipiga jeki shule

SERIKALI ya China imetoa msaada wa kisima, vitabu, madawati na viti kwa Shule ya Msingi Mzambarauni iliyopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam. Akitoa msaada huo jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Halmashauri Magu yapigwa jeki


NA SARAH ONESMO, MWANZA
HALMASHAURI ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, imepokea vifaa vipya vya afya na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA).
Msaada huo umetolewa na Taasisi ya Grena Youth Production School (GYPS) ya Denmark na utaihusu Kata ya Nyanguge, ambako tayari vifaa hivyo vimekabidhiwa kwa uongozi.
Vifaa hivyo ni robota moja ya mashuka ya wagonjwa, nguo za madaktari na wauguzi, mashine ya utrasound, mashine moja ya EKG ya kupimia wagonjwa wa moyo na kompyuta 95.
Akizungumza na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Zimamoto Mwanza yapigwa jeki


NA BLANDINA  ARISTIDES, MWANZA
KIKOSI cha Zimamoto mkoani Mwanza, kimepokea msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya sh. milioni mbili kutoka washirika wa maendeleo.
Msaada uliokabidhiwa ni buti jozi sita, majaketi 12, makoti 15, suruali 22, kofia ngumu 10, kofia za kawaida 10, fulana tano na ovaroli mbili kwa ajili ya utekeleza wa majukumu yao ya kazi.

Kaimu Kamanda wa Kikosi cha Zimamoto, Inspekta Augustine Magere, alisema kutokana na kuongezeka kwa idadi kubwa ya watu katika jiji la...

 

11 years ago

Mwananchi

EU yaipiga jeki sekta ya kilimo

>Sekta ya kilimo nchini itakua kwa kasi endapo msaada wa magari kwa taasisi zinazosimamia sekta hiyo utatumika ipasavyo kuwawezesha watendaji kuzungukia maeneo mbalimbali kufanya utafiti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani