EU yaipiga jeki sekta ya kilimo
>Sekta ya kilimo nchini itakua kwa kasi endapo msaada wa magari kwa taasisi zinazosimamia sekta hiyo utatumika ipasavyo kuwawezesha watendaji kuzungukia maeneo mbalimbali kufanya utafiti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 May
EU yapiga jeki sekta ya kilimo
UMOJA wa Ulaya (EU) umetoa msaada Sh bilioni 135 kwa ajili ya kuboresha sekta ya kilimo nchini pamoja na kupunguza vikwazo vya usafirishaji barabarani.
10 years ago
MichuziAUSTRALIA YAIPIGA ‘JEKI’ VETA
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)imeanzisha mfumo wa mafunzo stadi katika sekta ya madini na gesi ambao utasaidia watu wanaohitimu katika mafunzo hayo duniani.
Hayo ameyasema leo Mkurugenzi Mkuu wa VETA,Mhandisi Zebadiah Moshi wakati wakisaini makubaliano na serikali ya Australia kuptia shirika la Idara ya Mambo ya Nje na Biashara (DFAT)iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency,jijini Dar es Salaam.
Amesema katika makubaliano hayo,Serikali ya...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
China yaipiga jeki shule
SERIKALI ya China imetoa msaada wa kisima, vitabu, madawati na viti kwa Shule ya Msingi Mzambarauni iliyopo Gongo la Mboto, Dar es Salaam. Akitoa msaada huo jijini Dar es Salaam...
11 years ago
MichuziVODACOM YAIPIGA JEKI SHULE YA BARAZANI MANYARAâ€
9 years ago
MichuziNHIF YAIPIGA JEKI MANISPAA YA KINONDONI LEO
Hatua hiyo inalenga kuongeza jitihada za kukabiliana na ugonjwa huo ambao umekuwa ukienea kwa kasi, tangu uanze Agosti 15, mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kukabidhi msaada huo, Mkurugenzi wa Fedha, Mipango na Uwekezaji wa mfuko huo, Deusdedit Rutazaa alisema kutokana na...
9 years ago
MichuziSIMBA CEMENT YAIPIGA JEKI MZUMBE SECONDARY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsukpBjfQnpDd07pLB5-49M1UDbZ272JstO-HmP-kkRuG*w5snp4UerHiB8uO8t2eddrbXBYEGWUl0igZ1TIyo9T2/001.WAZIRI.jpg?width=650)
VODACOM YAIPIGA JEKI WIKI YA USALAMA BARABARANI
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA YAIPIGA JEKI MANISPAA YA ILALA