Kamanda Mpiga akwamisha ulanguzi tiketi Ubungo
Kamanda Mpinga akiwa ndani ya basi la kuelekea mkoani Tanga akizungumza na baadhi ya abiria juu ya viwango vya nauli walivyotozwa kama vipo sahihi.
Abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea mkoani Tanga wakimsikiliza Mpinga.
Kamanda Mpinga na Kamishna Sima wakiwa ndani ya moja ya mabasi kituoni hapo.
Kamanda Mpinga akishuka ndani ya basi baada ya kuchukua maoni ya abiria.
Abiria wakiwa makini kuhakikisha wanafunga mikanda kwenye viti vya kukalia
Kamanda Mpinga (kushoto) akiwa na Kamishna Msaidizi wa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Dec
Ulanguzi wa tiketi Ubungo watisha
11 years ago
Mwananchi25 Dec
Ulanguzi wa tiketi wapamba moto Ubungo
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Taboa yaombwa kukomesha ulanguzi wa tiketi
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Ubungo hali shwari, ulanguzi umekwisha
9 years ago
Mwananchi22 Dec
Ujenzi wa reli utakomesha ulanguzi tiketi za mabasi
9 years ago
VijimamboKAMANDA MPIGA AKABIDHI TBL,RIPOTI YA UPIMAJI AFYA ZA MADEREVA
10 years ago
VijimamboKAMANDA MPIGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Tiketi Ubungo kizungumkuti
NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
ABIRIA waliotaka kusafiri kwenda wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, nusura wachapane ngumi wakigombea foleni ya kukata tiketi katika Kituo cha mabasi ya mikoani Ubungo (UBT).
MTANZANIA lilishuhudia abiria hao wakiwa kwenye foleni wakisubiri kukata tiketi katika mabasi ya Kampuni ya Meridian yanayofanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Rombo mkoani Kilimanjaro.
Katika tukio hilo, baadhi ya abiria walivuruga utaratibu wa foleni kwa kuwavuka wenzao na kujisogeza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Jg40_OYaqLM/XkigxlWOYeI/AAAAAAACHqk/ZZemX5BUHrI7QtJElsu1REqDxd2I0vHmwCLcBGAsYHQ/s72-c/download.jpg)
UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA MAJIMBO YA KIBAMBA NA UBUNGO UMESHAANZA, MWISHO 20/02/2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-Jg40_OYaqLM/XkigxlWOYeI/AAAAAAACHqk/ZZemX5BUHrI7QtJElsu1REqDxd2I0vHmwCLcBGAsYHQ/s200/download.jpg)
Halmashauri ya Manipaa ya Ubungo Dar es Salaam, imetangaza kuwa Wananchi wa majimbo ya Kibamba na Ubungo katika Manispaa hiyo, kuwa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Mpigakura limeanza tangu tarehe 14/02/2020 na litafanyika kwa muda wa siku saba kuanzia tarehe hiyo hadi tarehe 20/02/2020 litakapomalizika.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Afisa Uandikishaji katika Majibo hayo na kusambazwa na Mkurugenzi wa halmashauri ya Manispaa hiyo ya Ubungo Beatrice...