KAMANDA MPIGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani nchini, Mohamed Mpinga akiwasalimia kwa kuonesha vidole baada ya kuzikagua timu za Foma na Mtongani katika mchezo wa nusu fainali ya michuano ya mpira wa miguu ya timu za Bodaboda ya Mpinga Cup, Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam leo.Lengo la mashindano hayo yaliyoshirikisha timu 108 ni kutoa elimu ya usalama barabarani kwa Bodaboda. Kushoto kwake ni Msimamizi wa mashindano hayo, Mrakibu Msaidizi wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AFUNGUA NUSU FAINALI MASHINDANO YA SOKA YA BODABODA (MPINGA CUP)
10 years ago
Michuzi23 Nov
Nusu ya fainali ya kwanza ya mashindano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP katika uwanja wa Mwembe Yanga,Temeke
![10553574_836086276455319_1176921432347220072_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/10553574_836086276455319_1176921432347220072_n.jpg)
![1960140_836086329788647_6126915949753505475_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/1960140_836086329788647_6126915949753505475_n.jpg)
9 years ago
MichuziKAMANDA MPINGA AONYA WENYE MABASI KUONGEZA NAULI, AZINDUA HUDUMA FASTA FASTA KWA BODABODA
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro
Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Ikulu wakiwavuta timu ya Wizara ya Kilimo, Ushirika na Chakula (hawapo pichani) wakati wa mashindano ya kuingia hatua ya nusu fainali mashindano ya SHIMIWI leo mjini Morogoro ambapo Ikulu imefuzu kucheza hatua hiyo.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini...
10 years ago
BBCSwahili17 Dec
Chelsea -nusu fainali Capital Cup.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Ni shughuli nusu fainali Mapinduzi Cup Leo
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba SC, leo wanashuka kwenye dimba la Amaan hapa Unguja kuwavaa Watoza Ushuru wa Mamlaka ya Mapato Uganda (URA), katika nusu fainali ya pili ya Kombe la...
10 years ago
MichuziNUSU FAINALI YA MTEMVU CUP YAPIGWA MWEMBE YANGA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kr5CgqBcRjE/VfzUp3blfhI/AAAAAAAH6AI/HQ1CnZMQqTE/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Timu ya soka ya wasichana ya Temeke yatinga Nusu fainali michuano ya Airtel Rising Stars
![](http://2.bp.blogspot.com/-kr5CgqBcRjE/VfzUp3blfhI/AAAAAAAH6AI/HQ1CnZMQqTE/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NSsOsn7_sJg/VfzUphEmQHI/AAAAAAAH6AE/uq2q4SBiokg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboTimu ya Jimbo la Mkunazini Yaingia Nusu Fainali Kombe la Bonaza la Masauni Cup