Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro
Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Ikulu wakiwavuta timu ya Wizara ya Kilimo, Ushirika na Chakula (hawapo pichani) wakati wa mashindano ya kuingia hatua ya nusu fainali mashindano ya SHIMIWI leo mjini Morogoro ambapo Ikulu imefuzu kucheza hatua hiyo.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro
Na Eleuteri Mangi- MAELEZOKatibu wa Klabu ya Ikulu Ramadhani Bendera ameipongeza klabu yake kwa kufanya vizuri katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi wa Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea mjini morogoro. Bendera alitoa pongezi hizo kwa klabu yake kufuatia ushindi waliopata katika michezo mbalimbali iliyochezwa leo katika uwanja wa Jamhuri. Timu za Ikulu zilizofanikwa kuingia hatua ya robo fainali za mashindano hayo ni timu ya mchezo wa mpira wa pete,...
11 years ago
Michuzimashindano ya michezo ya SHIMIWI yafunguliwa mjini Morogoro
BOFYA...
11 years ago
GPLTASWIRA MBALIMBALI ZA MASHINDANO YA SHIMIWI YANAYOENDELEA MJINI MOROGORO
Marefa wa timu za netiboliu wakijiandaa kufanya kazi yao. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ulikuwepo kwenye viwanja vya Jamhuri mjini Morogoro kwa ajili ya watumishi wa Umma kupima afya zao.…
11 years ago
Michuzi.jpg)
TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ZAINGIA 16 BORA, FAINALI SHIMIWI MJINI MOROGORO
.jpg)
11 years ago
MichuziIKULU ,HAZINA, MAHAKAMA ZATINGA NUSU FAINALI SHIMIWI
Na Happiness Shayo,Morogoro
Timu za kamba za Ikulu, Hazina na Mahakama zimeingia hatua ya nusu fainali kwa kishindo baada ya kuzivuta timu pinzani katika michezo ya SHIMIWI iliyofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro leo.
Michezo hiyo ya kusisimua iliyovuta mashabiki wengi ilianza majira ya saa moja asubuhi ambapo timu ya kamba ya wanawake ya Ikulu iliivuta timu ya kamba ya wanawake ya Kilimo na kuibuka mshindi kwa kuvuta mivuto yote miwili.
Mchezo wa pili ulikuwa kati ya timu ya kamba ya...
Timu za kamba za Ikulu, Hazina na Mahakama zimeingia hatua ya nusu fainali kwa kishindo baada ya kuzivuta timu pinzani katika michezo ya SHIMIWI iliyofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro leo.
Michezo hiyo ya kusisimua iliyovuta mashabiki wengi ilianza majira ya saa moja asubuhi ambapo timu ya kamba ya wanawake ya Ikulu iliivuta timu ya kamba ya wanawake ya Kilimo na kuibuka mshindi kwa kuvuta mivuto yote miwili.
Mchezo wa pili ulikuwa kati ya timu ya kamba ya...
10 years ago
Michuzi
MASHINDANO YA UMITASHUMTA YAFIKIA ROBO FAINALI JIJINI MWANZA


11 years ago
Dewji Blog29 Sep
PSPF yadhamini mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mkoani Morogoro uwanja wa Jamuhuri





11 years ago
Vijimambo29 Sep
PSPF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMIWI YANAYOENDELEA MKOANI MOROGORO KATIKA UWANJA WA JAMUHURI.






11 years ago
Vijimambo01 Oct
TASWIRA MBALIMBALI ZA MASHINDANO YA SHIMIWI YANAYOENDELEA MJINI MOROGOROâ€
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania