Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IKULU ,HAZINA, MAHAKAMA ZATINGA NUSU FAINALI SHIMIWI

Na Happiness Shayo,Morogoro
Timu za kamba za Ikulu, Hazina na Mahakama zimeingia hatua ya nusu fainali kwa kishindo baada ya kuzivuta timu pinzani katika michezo ya SHIMIWI iliyofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro leo.
Michezo hiyo ya kusisimua iliyovuta mashabiki wengi ilianza majira ya saa moja asubuhi ambapo timu ya kamba ya wanawake ya Ikulu iliivuta timu ya kamba ya wanawake ya Kilimo na kuibuka mshindi kwa kuvuta mivuto yote miwili.
Mchezo wa pili ulikuwa kati ya timu ya kamba ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya

Timu nne zimetinga hatua ya nusu fainali katika ligi ya mabingwa barani Ulaya iliyokamilika hapo jana.

 

10 years ago

Mwananchi

UMISSETA : Mashariki, Dar zatinga nusu fainali

Timu za Kanda ya Mashariki na Dar es Salaam zimekuwa za kwanza kutinga nusu fainali ya netiboli kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Sanaa kwa Shule za Sekondari Tanzania (Umisseta) yanayoendelea mjini hapa.

 

10 years ago

GPL

BAYERN MUNICH, BARCELONA ZATINGA NUSU FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao dhidi FC Porto jana. Neymar (juu) akishangilia na Mbrazil mwenzake Dani Alves baada ya kufunga bao la pili jana. Robert Lewandowski akiifungia Bayern bao la tatu dakika ya 27.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro

01

Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Ikulu wakiwavuta timu ya Wizara ya Kilimo, Ushirika na Chakula (hawapo pichani) wakati wa mashindano ya kuingia hatua ya nusu fainali mashindano ya SHIMIWI  leo mjini Morogoro ambapo Ikulu imefuzu kucheza hatua hiyo.

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini...

 

10 years ago

Michuzi

Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro

Na Eleuteri Mangi- MAELEZOKatibu wa Klabu ya Ikulu Ramadhani Bendera ameipongeza klabu yake kwa kufanya vizuri katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi wa Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea mjini morogoro. Bendera alitoa pongezi hizo kwa klabu yake kufuatia ushindi waliopata katika michezo mbalimbali iliyochezwa leo katika uwanja wa Jamhuri. Timu za Ikulu zilizofanikwa kuingia hatua ya robo fainali za mashindano hayo ni timu ya mchezo wa mpira wa pete,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dnipro-Sevilla zatinga fainali

Nusu fainali ya pili ya Europa ligi, usiku wa kuamkia leo Dnipopetrovsk ilipomenyana na Napoli huku Fiorentina ikiialika Sevilla

 

11 years ago

Mwananchi

Nigeria, Mali zatinga robo fainali

Timu za taifa za Nigeria na Mali jana zilitinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN baada ya kuzichapa Afrika Kusini na Msumbiji katika fainali hizo zinazoendelea huko Afrika Kusini.

 

10 years ago

GPL

DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015

Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali

>Costa Rica na Uholanzi zimetinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda mechi zao za jana za hatua ya 16 bora nchini Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani