BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali
>Costa Rica na Uholanzi zimetinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda mechi zao za jana za hatua ya 16 bora nchini Brazil.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Nigeria, Mali zatinga robo fainali
Timu za taifa za Nigeria na Mali jana zilitinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN baada ya kuzichapa Afrika Kusini na Msumbiji katika fainali hizo zinazoendelea huko Afrika Kusini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kwvKg1TQ8fUbnvQln-pObzac4yK3L4U3lOzMF38sQkUvS6zkIEfK-C2WxzCwG5J*AQBNguFwwYtTwpQbdI5KwN3YBXfhNh2h/zambianacapeverde.jpg)
DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015
Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SsTAFdoJMhvukAs6Gu2e93eivLnXlkiHpe8tOX8sZJQy5RNMs5cnBfrR7xQUzgvRWmB-M4FOeeD7U4VX1BHruxSh9fQxok1u/malinaguinea.jpg)
MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON
Mali wakipambana na Guinea. TIMU za Mali na Ivory Coast nazo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika 2015 kutoka Kundi D huku Guinea na Cameroon wakiyaaga mashindano hayo. Ivory Coast wakipongezana kwa ushindi dhidi ya Cameroon usiku huu. Mali wamesonga mbele baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea huku Ivory Coast wakiwachapa Cameroon bao 1-0. Kwa matokeo hayo Mali na Ivory Coast… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK7oejnYCIEw9GYAqjOeafJ-3ZIbpWf0HY3qvs1yCVzExcAbSf1e2YJc44oLDcp*bNzMzlK9PRUMpkWd6WTO5f3a/barca.jpg)
BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
Lionel Messi akishangilia na wachezaji wenzake wa Barcelona baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 67. Pablo Zabaleta wa Man City akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano.…
11 years ago
Mwananchi01 Jul
BRAZIL 2014: Mashabiki wafunga mitaa ushindi wa Costa Rica
>Kutoka ufukweni hadi katikati ya mji mkuu, mashabiki na raia wa Costa Rica walimiminika barabarani juzi kushangilia ushindi wa kihistoria wa timu yao iliyofanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kuitoa Ugiriki.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4O6eIqcn6-7frWEZTJ2jYxbQFwXmKuWghYDFB8CAhKVmwLo48NfRHuuXz6X2lVYwo47mIedeGgVxposTIMWCGJaS0WRm2mXO/article26742661F4005D000000578779_964x336.jpg?width=650)
Dakika mbili zaipeleka Uholanzi robo fainali
FORTALEZA, Brazil
UHOLANZI jana walitumia dakika mbili kupata nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Mexico mabao 2-1. Mchezaji wa Mexico, skipper Marquez (kushoto) akijiandaa kuokoa mpira katika eneo la hatari. Uholanzi ambao walicheza fainali katika michuano iliyopita ya mwaka 2010 nchini Brazil na kufungwa na Hispania, walikuwa wanapewa nafasi kubwa sana ya kutinga hatua hiyo,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s72-c/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-p3HKu_IN_GA/U7BmtNsbI6I/AAAAAAAFtiM/et7JzmCq4T4/s1600/article-2674132-1F3F80F100000578-365_634x458.jpg)
Na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii Yaani huko Old Trafford katika klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cwh76f0Jjbll9GGnp6y88JaQ4I5pAhNPkOpAsPhxB0WeffZS5wutWPQ-RGZifTDUk7bUIdtNtCDv46p8vFY5MYMG9SRrJo8l/02.jpg)
ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2014 YANUKIA
Kikundi cha  Wakali Dance kutoka Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya udhamini wa Vodacom Tanzania.Wakati wa shindano la kutafuta makundi 16 ya kuingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.
...
11 years ago
TheCitizen22 Jun
Costa Rica makes WC a worthy showpiece
For a while, Brazil 2014 looked to be facing the risk of being remembered for the wrong reasons.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania