Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali

>Costa Rica na Uholanzi zimetinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Kombe la Dunia 2014 baada ya kushinda mechi zao za jana za hatua ya 16 bora nchini Brazil.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Nigeria, Mali zatinga robo fainali

Timu za taifa za Nigeria na Mali jana zilitinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN baada ya kuzichapa Afrika Kusini na Msumbiji katika fainali hizo zinazoendelea huko Afrika Kusini.

 

10 years ago

GPL

DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015

Zambia wakikwaana na Cape Verde leo. TIMU za Tunisia na DR Congo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali Afcon 2015 kutoka Kundi B huku Cape Verde na Zambia zikiaga mashindano hayo yanayoendelea huko Equitorial Guinea. DRC wakimenyana na Tunisia. Timu hizo zimetinga hatua hiyo baada ya kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wao wa mwisho uliopigwa leo huku Zambia na Cape Verde wakitoka suluhu na kuondolewa. Zambia na… ...

 

10 years ago

GPL

MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON

Mali wakipambana na Guinea. TIMU za Mali na Ivory Coast nazo zimefanikiwa kutinga hatua ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa Afrika 2015 kutoka Kundi D huku Guinea na Cameroon wakiyaaga mashindano hayo. Ivory Coast wakipongezana kwa ushindi dhidi ya Cameroon usiku huu. Mali wamesonga mbele baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Guinea huku Ivory Coast wakiwachapa Cameroon bao 1-0. Kwa matokeo hayo Mali na Ivory Coast… ...

 

11 years ago

GPL

BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

Lionel Messi akishangilia na wachezaji wenzake wa Barcelona baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 67. Pablo Zabaleta wa Man City akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kupewa kadi ya pili ya njano.…

 

11 years ago

Mwananchi

BRAZIL 2014: Mashabiki wafunga mitaa ushindi wa Costa Rica

>Kutoka ufukweni hadi katikati ya mji mkuu, mashabiki na raia wa Costa Rica walimiminika barabarani juzi kushangilia ushindi wa kihistoria wa timu yao iliyofanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia kwa mara ya kwanza baada ya kuitoa Ugiriki.

 

11 years ago

GPL

Dakika mbili zaipeleka Uholanzi robo fainali

FORTALEZA, Brazil
UHOLANZI jana walitumia dakika mbili kupata nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Mexico mabao 2-1. Mchezaji wa Mexico, skipper Marquez (kushoto) akijiandaa kuokoa mpira katika eneo la hatari. Uholanzi ambao walicheza fainali katika michuano iliyopita ya mwaka 2010 nchini Brazil na kufungwa na Hispania, walikuwa wanapewa nafasi kubwa sana ya kutinga hatua hiyo,...

 

11 years ago

Michuzi

goli la penati dhidi ya mexico yaipeleka uholanzi robo fainali kombe la dunia brazil leo

Kocha wa Uholanzi Louis van Gallakimpongeza Arjen Robben kwa kufanyiwa rafu iliyozaa penati na hatimaye bao la ushindi dhidi ya Mexico leo
Na Sultani Kipingo

wa Globu ya Jamii

Yaani huko Old Trafford katika  klabu ya Manchester United nchini Uingereza atakoenda kufundisha msimu ujao tayari waliishaanza kuandaa ofisi ya meneja wao mpya Louis van Gall anayeifundisha timu ya Uholanzi katika kombe la dunia, baada ya kuhisiwa kuwa ataaga mashindani hayo Jumapili hii walipocheza na...

 

11 years ago

GPL

ROBO FAINALI YA DANCE 100% 2014 YANUKIA

Kikundi cha   Wakali Dance  kutoka  Bugurunii jijini Dar es salaam, wakionyesha umahiri wao wa kucheza  wakati wa shindano la Dance miamia lililofanyika katika Viwanja vya Don Bosco Oysterbay chini ya  udhamini wa Vodacom Tanzania.Wakati wa shindano la kutafuta makundi 16 ya kuingia robo fainali itakayoanza Agosti 23 na kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi milioni 5.
...

 

11 years ago

TheCitizen

Costa Rica makes WC a worthy showpiece

For a while, Brazil 2014 looked to be facing the risk of being remembered for the wrong reasons.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani