Nigeria, Mali zatinga robo fainali
Timu za taifa za Nigeria na Mali jana zilitinga hatua ya robo fainali ya Fainali za Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN baada ya kuzichapa Afrika Kusini na Msumbiji katika fainali hizo zinazoendelea huko Afrika Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SsTAFdoJMhvukAs6Gu2e93eivLnXlkiHpe8tOX8sZJQy5RNMs5cnBfrR7xQUzgvRWmB-M4FOeeD7U4VX1BHruxSh9fQxok1u/malinaguinea.jpg)
MALI, IVORY COAST NAZO ZATINGA ROBO FAINALI AFCON
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kwvKg1TQ8fUbnvQln-pObzac4yK3L4U3lOzMF38sQkUvS6zkIEfK-C2WxzCwG5J*AQBNguFwwYtTwpQbdI5KwN3YBXfhNh2h/zambianacapeverde.jpg)
DRC, TUNISIA ZATINGA ROBO FAINALI AFCON 2015
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ARLRee19CK7oejnYCIEw9GYAqjOeafJ-3ZIbpWf0HY3qvs1yCVzExcAbSf1e2YJc44oLDcp*bNzMzlK9PRUMpkWd6WTO5f3a/barca.jpg)
BARCELONA, PSG ZATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA
11 years ago
Mwananchi30 Jun
BRAZIIL 2014: Costa Rica, Uholanzi zatinga robo fainali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
9 years ago
StarTV07 Nov
 Kombe la Dunia U-17: Mali, Nigeria kucheza fainali Jumapili.
Hatimaye ndoto ya timu mbili za Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia chini ya umri wa miaka 17 imetimia baada ya timu za taifa za Mali na Nigeria Golden Eaglets kushinda mechi kwa vipigo vizito na kutinga fainali ya michuano hiyo nchini Chile.
Timu ya taifa ya Mali imetinga fainali hiyo kwa mara ya kwanza baada kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ubeligiji iliyokuwa ya kwanza kujipataia bao kupitia Jorn Vancamp baada ya kuihadaa ngome ya Mali na likiwa ni bao la kwanza kufungwa...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Dnipro-Sevilla zatinga fainali
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Timu 4 zatinga nusu fainali,Ulaya
10 years ago
Mwananchi16 Jun
UMISSETA : Mashariki, Dar zatinga nusu fainali