SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo25 Nov
Kili yatangulia robo fainali, Z’bar yatoka
TIMU ya Kilimanjaro Stars jana ilitinga robo fainali ya michuano ya Kombe la Chalenji baada ya kuichapa Rwanda kwa mabao 2-1 katika mchezo uliofanyika mjini Awassa, Ethiopia. Wakati Kilimanjaro Stars ikitinga robo fainali wenzao wa Zanzibar Heroes walifungasha virago baada ya kubandikwa mabao 4-0 na Uganda `The Cranes’ katika mchezo uliopigwa mapema jana.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s72-c/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
AZAM, YANGA KUKIPIGA ROBO FAINALI YA KAGAME CUP KESHO, NANI KUIBUKA KIDEDEA??
![](http://2.bp.blogspot.com/-jasBCUH8kA4/VbfYwwZkCwI/AAAAAAAHsUw/IWKCVudZj3g/s640/azam-yanga-aug17-2013.jpg)
11 years ago
BBCSwahili29 May
CECAFA:Michuano yaingia robo fainali
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Burundi yachungulia hatua ya robo fainali CHAN
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Azam FC watinga robo fainali Kagame
MABINGWA wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam FC, jana walifanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame), baada ya kuichapa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J--Ie9aArjo/VDMIOcHt1aI/AAAAAAAGoYA/jvuyELAvduQ/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Yanga yatinga robo fainali Mapinduzi Cup
TIMU ya Yanga jana ilitinga hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea visiwani Zanzibar baada ya kuichapa Polisi ya humo mabao 4-0, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan.
Timu hizo zilizopo katika Kundi A ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zao za kwanza, ambapo Yanga iliifunga Jango’mbe kwa mabao 4-0, huku Polisi ikiifunga Shaba ya huko kwa bao 1-0.
Shujaa wa Yanga kwenye mchezo huo alikuwa ni winga wake wa kushoto, Mbrazil Andrey...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GdVJdXbfLO4/XlV1bRz8HmI/AAAAAAALfa0/XA1kn_9ACGghfryMTafkirHLTu1PyiUrACLcBGAsYHQ/s72-c/4a8cc55f-1888-46fe-acac-f2162a8fa30e.jpg)
SAHARE UNITED YATINGA ROBO FAINALI KOMBE LA AZAM
Na Zainab Nyamka, Michuzi TV.
Kocha wa timu ya Sahare All Stars Kessy Abdalla amesema wamejipanga kucheza na timu yoyote watakayopangiwa nayo kwenye mchezo wa robo fainali ya Kombe la Azam ASFC.
Hayo ameyasema baada ya kumalizika kwa mchezo wa hatua ya 16 bora baada ya kuibuka na ushindi wa goli 5-2 dhidi ya Panama Fc ya Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo umechezwa leo katika Uwanja wa Uhuru ambapo Sahare All Stars waliweza kuibuka na ushindi huo mnono.
Kocha Abdalla amesema kuwa wao wanaamini...