Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro

Na Eleuteri Mangi- MAELEZOKatibu wa Klabu ya Ikulu Ramadhani Bendera ameipongeza klabu yake kwa kufanya vizuri katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi wa Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea mjini morogoro. Bendera alitoa pongezi hizo kwa klabu yake kufuatia ushindi waliopata katika michezo mbalimbali iliyochezwa leo katika uwanja wa Jamhuri. Timu za Ikulu zilizofanikwa kuingia hatua ya robo fainali za mashindano hayo ni timu ya mchezo wa mpira wa pete,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ZAINGIA 16 BORA, FAINALI SHIMIWI MJINI MOROGORO

 Wanamichezo wa Wizara wa Mambo ya Ndani ya Nchi wakimshangilia Alavuya Ntalima baada ya kushiriki mbio za Kilomita 32 za Baiskeli wanawake kutoka Kijiji cha Melela Mlandizi hadi Rombo mjini Morogoro. Timu 12 za Baiskeli za Shirikisho za Michezo ya Wizara na Taasisi za Serikali (SHIMIWI) zilishiriki katika mbio hizo leo. Hata hivyo, Timu za mpira wa miguu, Kamba wanaume na wanawake na Netball zimeingia katika kundi la 16 Bora huku Timu ya mchezo wa riadha mita 100 ya wizara hiyo imeingia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro

01

Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Ikulu wakiwavuta timu ya Wizara ya Kilimo, Ushirika na Chakula (hawapo pichani) wakati wa mashindano ya kuingia hatua ya nusu fainali mashindano ya SHIMIWI  leo mjini Morogoro ambapo Ikulu imefuzu kucheza hatua hiyo.

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini...

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI

01

Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO

Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya  Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.

Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...

 

5 years ago

Michuzi

SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yatinga hatua ya timu 16 SHIMIWI

01

Wachezaji wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya mtoano katika mashindano ya SHIMIWI  uwanja wa Chuo Kikuu chaa Kilimo (SUA).

(Na Eleuteri Mangi – MAELEZO)

Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeibuka kidedea kwa kuifunga timu ya  Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mikwaju ya penati 4 – 3.

Ushindi huo wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...

 

10 years ago

Michuzi

Ikulu yang’ara SHIMIWI Morogoro

Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiwa kwenye maandamano siku ya ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI taifa yanayoendelea mjini Morogoro. Baadhi ya wachezaji wa Timu ya Ikulu wakimsikiliza Mgeni Rasmi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI taifa yanayoendelea mjini Morogoro. Yameanza vema mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kuendeleza ushindi na kung’ara katika mashindano...

 

11 years ago

Mwananchi

Burundi yachungulia hatua ya robo fainali CHAN

Bao la dakika za majeruhi la nyota Selemani Ndikumana lilitosha kuipa Burundi ushindi mbele ya Mauritania baada ya kuwachapa mabao 3-2 kwenye mchezo wa Kundi B wa michuano ya ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ligi za ndani (Chan) uliofanyika juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa Peter Mokaba, Afrika Kusini.

 

10 years ago

Michuzi

IKULU ,HAZINA, MAHAKAMA ZATINGA NUSU FAINALI SHIMIWI

Na Happiness Shayo,Morogoro
Timu za kamba za Ikulu, Hazina na Mahakama zimeingia hatua ya nusu fainali kwa kishindo baada ya kuzivuta timu pinzani katika michezo ya SHIMIWI iliyofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro leo.
Michezo hiyo ya kusisimua iliyovuta mashabiki wengi ilianza majira ya saa moja asubuhi ambapo timu ya kamba ya wanawake ya Ikulu iliivuta timu ya kamba ya wanawake ya Kilimo na kuibuka mshindi kwa kuvuta mivuto yote miwili.
Mchezo wa pili ulikuwa kati ya timu ya kamba ya...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ZAONGOZA UVUTAJI WA KAMBA SHIMIWI MOROGORO

Timu ya wavutaji kamba wanaume ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwavuta wapinzani wao (hawapo pichani) Wizara ya Ujenzi wakati walipokuwa wanashindana katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro leo. Timu ya Wizara ya Mambo ya Ndani iliibuka mshindi kwa pointi moja. Timu ya wavutaji kamba wanawake ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ikiwavuta wapinzani wao (hawapo pichani) Wizara ya Afya wakati walipokuwa wanashindana katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro leo. Timu ya Wizara ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani