Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro
![](http://2.bp.blogspot.com/-J--Ie9aArjo/VDMIOcHt1aI/AAAAAAAGoYA/jvuyELAvduQ/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Na Eleuteri Mangi- MAELEZOKatibu wa Klabu ya Ikulu Ramadhani Bendera ameipongeza klabu yake kwa kufanya vizuri katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi wa Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) yanayoendelea mjini morogoro. Bendera alitoa pongezi hizo kwa klabu yake kufuatia ushindi waliopata katika michezo mbalimbali iliyochezwa leo katika uwanja wa Jamhuri. Timu za Ikulu zilizofanikwa kuingia hatua ya robo fainali za mashindano hayo ni timu ya mchezo wa mpira wa pete,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fxc3iS-IpN0/VDENkfVe7UI/AAAAAAAGoAg/L_BkkSC3I-E/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ZAINGIA 16 BORA, FAINALI SHIMIWI MJINI MOROGORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-fxc3iS-IpN0/VDENkfVe7UI/AAAAAAAGoAg/L_BkkSC3I-E/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mashindano ya SHIMIWI yafikia hatua ya nusu fainali mjini Morogoro
Timu ya kuvuta kamba ya wanawake ya Ikulu wakiwavuta timu ya Wizara ya Kilimo, Ushirika na Chakula (hawapo pichani) wakati wa mashindano ya kuingia hatua ya nusu fainali mashindano ya SHIMIWI leo mjini Morogoro ambapo Ikulu imefuzu kucheza hatua hiyo.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Michuano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) imefikia hatua ya nusu fainali kwa michezo ya kuvuta kamba, mpira wa miguu na mpira wa pete kwenye mashindano yanayoendelea mjini...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.
Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
![](https://1.bp.blogspot.com/-dxMtz2qcX6o/XlVDwRJphfI/AAAAAAALfZU/CmzMoR33AfMOnaZCOQqdu2fh37EuQn7wwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-25%2Bat%2B18.55.52.jpeg)
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yatinga hatua ya timu 16 SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya mtoano katika mashindano ya SHIMIWI uwanja wa Chuo Kikuu chaa Kilimo (SUA).
(Na Eleuteri Mangi – MAELEZO)
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mikwaju ya penati 4 – 3.
Ushindi huo wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s72-c/01.jpg)
Ikulu yang’ara SHIMIWI Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yXemrCfgqPw/VCguAjYXI5I/AAAAAAAGmVM/6FC_PEBNm4E/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4cXpi0GXFRY/VCguAr1JXII/AAAAAAAGmVQ/4-tX-AK3QiI/s1600/03.jpg)
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Burundi yachungulia hatua ya robo fainali CHAN
10 years ago
MichuziIKULU ,HAZINA, MAHAKAMA ZATINGA NUSU FAINALI SHIMIWI
Timu za kamba za Ikulu, Hazina na Mahakama zimeingia hatua ya nusu fainali kwa kishindo baada ya kuzivuta timu pinzani katika michezo ya SHIMIWI iliyofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro leo.
Michezo hiyo ya kusisimua iliyovuta mashabiki wengi ilianza majira ya saa moja asubuhi ambapo timu ya kamba ya wanawake ya Ikulu iliivuta timu ya kamba ya wanawake ya Kilimo na kuibuka mshindi kwa kuvuta mivuto yote miwili.
Mchezo wa pili ulikuwa kati ya timu ya kamba ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UDDM85Gd_CA/VDJvt8i4UQI/AAAAAAAGoQ0/T7VlVZlLYFg/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
TIMU ZA WIZARA YA MAMBO YA NDANI ZAONGOZA UVUTAJI WA KAMBA SHIMIWI MOROGORO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UDDM85Gd_CA/VDJvt8i4UQI/AAAAAAAGoQ0/T7VlVZlLYFg/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s0XiWr_U-Zc/VDJvucYQLSI/AAAAAAAGoQ4/tYViNlH_tjg/s1600/unnamed%2B(68).jpg)