Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.
Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo yatinga hatua ya timu 16 SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiomba dua kabla ya mchezo wa hatua ya mtoano katika mashindano ya SHIMIWI uwanja wa Chuo Kikuu chaa Kilimo (SUA).
(Na Eleuteri Mangi – MAELEZO)
Timu ya mpira wa miguu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imeibuka kidedea kwa kuifunga timu ya Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mikwaju ya penati 4 – 3.
Ushindi huo wa timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J--Ie9aArjo/VDMIOcHt1aI/AAAAAAAGoYA/jvuyELAvduQ/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro
10 years ago
Michuzi06 Feb
DRFA yataja makundi ya timu zitakazoshiriki kucheza hatua ya 18 bora (hatua ya pili) ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam
Ligi hiyo ya mkoa...
9 years ago
MichuziGEPF YAIPIGA JEKI TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA STAKISHARI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--pIUveqLADc/VJW_l751IuI/AAAAAAAG4wM/URuOQWASPK8/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
BALOZI KAMALA AKABIDHI TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELGIJI JEZI ZA MPIRA WA MIGUU
![](http://2.bp.blogspot.com/--pIUveqLADc/VJW_l751IuI/AAAAAAAG4wM/URuOQWASPK8/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mwLKFaaG260/VJW_lyHsWCI/AAAAAAAG4wI/xIzz8jk0GXw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Michuzi08 Dec
TTB na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Kwenye tukio hilo ambalo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Balozi Peter...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
BALOZI KAMALA AKABIDHI JEZI ZA MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELIGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bG3N9aSgYVQ/Uv3pXtQxqmI/AAAAAAAFNJI/pgWzcj35flU/s72-c/photo-1.jpg)
MAZUNGUMZO KUHUSU MECHI YA MPIRA WA MIGUU KATI YA TWIGA STARS NA TIMU YA TAIFA YA ZAMBIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bG3N9aSgYVQ/Uv3pXtQxqmI/AAAAAAAFNJI/pgWzcj35flU/s1600/photo-1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Timu ya mpira wa pete Ikulu yawapa kichapo Ukaguzi
Wachezaji wa timu ya mpira wa pete ya Ikulu wakiwa wamejipanga tayari kuanza mechi yao dhidi ya timu ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali uliochezwa leo uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Na Eleuteri Mangi –MAELEZO
Timu ya mpira wa pete ya Ikulu imeendeleza kichapo kwa timu pinzani inyokutana nazo katika mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini Morogoro.
Ikiwa imekamilika katika idara zote, timu ya Ikulu imetakata vilivyo kwa kuwafunga Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali...