BALOZI KAMALA AKABIDHI TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELGIJI JEZI ZA MPIRA WA MIGUU
![](http://2.bp.blogspot.com/--pIUveqLADc/VJW_l751IuI/AAAAAAAG4wM/URuOQWASPK8/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (aliyevaa miwani) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa timu za mpira wa miguu za vijana wa Tanzania Ubelgiji baada ya kuwakabidhi jezi za mpira wa miguu. Balozi Kamala amewashukuru vijana hao kutangaza Tanzania vizuri na kudumisha umoja na ushirikiano miongoni mwao.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
BALOZI KAMALA AKABIDHI JEZI ZA MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELIGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3LyUftqWQTM/U2wfHuzZV1I/AAAAAAAFgag/khC7zAklDas/s72-c/unnamed+(26).jpg)
Balozi kamala akutana na balozi wa ubelgiji nchini tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-3LyUftqWQTM/U2wfHuzZV1I/AAAAAAAFgag/khC7zAklDas/s1600/unnamed+(26).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HT4_AV3eByY/U-orondguxI/AAAAAAAF-94/GTacKkdhjco/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
BALOZI KAMALA ANADI MADINI YA TANZANIA UBELGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-HT4_AV3eByY/U-orondguxI/AAAAAAAF-94/GTacKkdhjco/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Michuzi08 Dec
TTB na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Kwenye tukio hilo ambalo lilihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Balozi Peter...
10 years ago
Vijimambo08 Dec
BODI YA UTALII TANZANIA (TTB) TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SUNDERLAND (SAFC) ZATANGAZA UTALII WA TANZANIA UINGEREZA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/110.jpg)
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na Timu ya mpira wa miguu ya Sunderland (SAFC) zatangaza utalii wa Tanzania Uingereza
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza Mh. Peter Kallaghe na Garry Hutchinson Mkurugenzi wa Biashara wa timu ya mpira ya Sunderland wakionyesha jezi ya iliyoandikwa Tanzania yenye rangi za timu hiyo wakati wa uzinduzi rasmi wa matangazo ya Utalii wa Tanzania yanayotangazwa katika uwanja wa timu hiyo kutoka kulia ni Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii Bw. Geofrey Meena, Teddy Mapunda mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya (TTB) na kutoka kushoto ni Mdau wa Utalii Bw. Nestor Mapunda na Kaimu Mkurugenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IsaeL-50nZM/VV5Dr1G1aYI/AAAAAAAHY6g/jLJ0psyC70Y/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
BALOZI KAMALA AMSHUKURU MZEE NYAMTARA MUKOME KWA KAZI NZURI ALIYOFANYA UBALOZI WA TANZANIA UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-IsaeL-50nZM/VV5Dr1G1aYI/AAAAAAAHY6g/jLJ0psyC70Y/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wUAKMSBUeN4/VJGaJiViWXI/AAAAAAAG38Y/_mbEk-dvtSw/s72-c/IMG-20140209-WA0009.jpg)
MAONYESHO YA KWANZA YA KIMATAIFA YA VIPAJI MPIRA WA MIGUU KWA VIJANA WALIOKO SHULENI NA VYUONI, TANZANIA DESEMBA 19 — 21 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-wUAKMSBUeN4/VJGaJiViWXI/AAAAAAAG38Y/_mbEk-dvtSw/s1600/IMG-20140209-WA0009.jpg)
Maonyesho haya ni nafasi dhahiri kwa vijana wenye vipaji vya kusakata mpira wa miguu, wavulana kwa wasichana, kucheza soka nchini Marekani huku wakisoma katika vyuo vya nchini humo kwa kulipiwa gharama zote....
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Timu ya Ikulu mpira wa miguu yatinga hatua ya pili SHIMIWI
Wachezaji wa timu ya Ikulu wakiwa pamoja kuomba dua kabla ya kuanza mchezo wao dhidi ya timu ya RAS Simiyu katika mashindano ya SHIMIWI leo uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Timu ya mpira wa miguu ya Ikulu imedhihirisha ubora wake katika mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi inayoshirikisha Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kumaliza mechi nne katika kundi B bila kuruhusu nyavu zake kutikiswa.
Ubora huo unaifanya timu ya Ikulu kuwa ni timu...