MAONYESHO YA KWANZA YA KIMATAIFA YA VIPAJI MPIRA WA MIGUU KWA VIJANA WALIOKO SHULENI NA VYUONI, TANZANIA DESEMBA 19 — 21 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-wUAKMSBUeN4/VJGaJiViWXI/AAAAAAAG38Y/_mbEk-dvtSw/s72-c/IMG-20140209-WA0009.jpg)
Tunayo furaha kukujulisheni kuwa taasisi ya Boko Beach Veterans Sports Club (BBV) itaandaa maonyesho ya kimataifa ya vipaji vya mpira wa miguu kwa vijana wa mashuleni na vyuoni, kuanzia tarehe 19 had 21 kwenye uwanja wao wa kisasa ulioko maeneo ya Boko, Kinondoni , Dar es salaam.
Maonyesho haya ni nafasi dhahiri kwa vijana wenye vipaji vya kusakata mpira wa miguu, wavulana kwa wasichana, kucheza soka nchini Marekani huku wakisoma katika vyuo vya nchini humo kwa kulipiwa gharama zote....
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--pIUveqLADc/VJW_l751IuI/AAAAAAAG4wM/URuOQWASPK8/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
BALOZI KAMALA AKABIDHI TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELGIJI JEZI ZA MPIRA WA MIGUU
![](http://2.bp.blogspot.com/--pIUveqLADc/VJW_l751IuI/AAAAAAAG4wM/URuOQWASPK8/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mwLKFaaG260/VJW_lyHsWCI/AAAAAAAG4wI/xIzz8jk0GXw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
BALOZI KAMALA AKABIDHI JEZI ZA MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELIGIJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M5sYIaAIdqo/VJXPUjMoHKI/AAAAAAAG4yI/X_KzVEFe81c/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA YA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris 2020 yanayofanyika jijini Paris, Ufaransa kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Maonesho hayo ambayo yalifunguliwa na Mhe. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, yanatarajiwa kutembelewa na zaidi ya watu 600,000.
Wakati wa maonesho hayo, Tanzania itapata fursa ya kuonyesha bidhaa zake yakiwemo mazao ya kimkakati. Ujumbe wa Tanzania katika maonyesho hayo unaongozwa na Bw. Victor...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Sj09-qrD7BU/VNaXoDCCQqI/AAAAAAAHCZc/_0ncjSwbsD8/s72-c/248.jpg)
SHIRIKA LA TAIFA LA HIFADHI YA JAMII LAANZA MCHAKATO WA KUWASAKA WENYE VIPAJI VYA MPIRA WA MIGUU.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sj09-qrD7BU/VNaXoDCCQqI/AAAAAAAHCZc/_0ncjSwbsD8/s1600/248.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oa0SAwwS1TI/VoPYMqTfVPI/AAAAAAAIPYM/OqoL_CoKW94/s72-c/mbise.png)
SALAMU ZA MWAKA ZA RAIS WA TFF KWA WADAU WA MPIRA WA MIGUU TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-oa0SAwwS1TI/VoPYMqTfVPI/AAAAAAAIPYM/OqoL_CoKW94/s640/mbise.png)
Awali ya yote tumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametulinda kwa mwaka mzima na kupitia Baraka zake tumeweza kuwa na nguvu, uwezo na hekima za kutimiza majukumu yetu mbalimbali katika kipindi hiki cha mwaka 2015. Tuzidi kumuomba atuvushe salama mwaka 2015.
Ninaomba nichukue fursa hii kuwapongeza Watanzania wenzangu kwa kukamilisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9-V66-yZLsg/VS0RQQsSoZI/AAAAAAAA6i8/X4aAJUKGnfs/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9-V66-yZLsg/VS0RQQsSoZI/AAAAAAAA6i8/X4aAJUKGnfs/s1600/TFF%2BLOGO.jpg)
Adhabu dhidi ya Kocha Mayanja kwenye mechi hiyo namba 136 iliyochezwa Aprili 1, 2015 kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 40(1) ya Ligi Kuu.
Klabu ya Mtibwa Sugar imepigwa faini ya sh. 500,000 baada ya timu yake kukataa kuingia vyumbani wakati wa...
10 years ago
Michuzi14 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s72-c/tff_LOGO16.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s320/tff_LOGO16.jpg)
Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo...