SALAMU ZA MWAKA ZA RAIS WA TFF KWA WADAU WA MPIRA WA MIGUU TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-oa0SAwwS1TI/VoPYMqTfVPI/AAAAAAAIPYM/OqoL_CoKW94/s72-c/mbise.png)
Ndugu zangu, Kwa niaba ya Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania kupitia kwenu wanahabari ninaomba nitoe salam za mwaka za Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF.
Awali ya yote tumshukuru Mwenyezi Mungu ambaye ametulinda kwa mwaka mzima na kupitia Baraka zake tumeweza kuwa na nguvu, uwezo na hekima za kutimiza majukumu yetu mbalimbali katika kipindi hiki cha mwaka 2015. Tuzidi kumuomba atuvushe salama mwaka 2015.
Ninaomba nichukue fursa hii kuwapongeza Watanzania wenzangu kwa kukamilisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-9-V66-yZLsg/VS0RQQsSoZI/AAAAAAAA6i8/X4aAJUKGnfs/s72-c/TFF%2BLOGO.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9-V66-yZLsg/VS0RQQsSoZI/AAAAAAAA6i8/X4aAJUKGnfs/s1600/TFF%2BLOGO.jpg)
Adhabu dhidi ya Kocha Mayanja kwenye mechi hiyo namba 136 iliyochezwa Aprili 1, 2015 kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 40(1) ya Ligi Kuu.
Klabu ya Mtibwa Sugar imepigwa faini ya sh. 500,000 baada ya timu yake kukataa kuingia vyumbani wakati wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s72-c/tff_LOGO16.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wdWE0tXfoqM/VWIFydh-2FI/AAAAAAAHZic/7vabTQvqPCs/s320/tff_LOGO16.jpg)
Kamati ya Utendaji imepitia masuala mbalimbali na kutoa maamuzi yafuatayo:
CLUB LICENCING (Leseni za vilabu)Kamati ya Utendaji imeiagiza sekretarieti ivisisitize vilabu vya Ligi Kuu umuhimu wa kukamilisha maombi yao ya ushiriki wa ligi kuu kwa msimu wa 2015/16 kwa kuwasilisha fomu za maombi ya Leseni za vilabu TFF. Klabu ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s72-c/images%2B%25281%2529.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wVOPq7IhHNk/Vb048L0Gx1I/AAAAAAAHtKQ/tQE4larRN8Q/s400/images%2B%25281%2529.jpg)
(i) Kila mkoa utakua na kituo cha kukuza na kuendeleza vipaji vya watoto (Regional Sports Centre). Mapato ya mchezo wa Ngao ya Hisani msimu huu yatatumika kuagiza kontena la vifaa (mipira size 3, 4, bips na cones) ambavyo vitasambazwa katika vituo vyote vya michezo vya mikoa.
(ii) Ubovu wa viwanja – Kamati ya Utendaji...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oIJZYtjrD5k/VcoEnBEyW-I/AAAAAAAHwDc/seaKVLVtwoU/s72-c/index.jpg)
TAARIFA KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-oIJZYtjrD5k/VcoEnBEyW-I/AAAAAAAHwDc/seaKVLVtwoU/s1600/index.jpg)
Wachezaji wa Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa watakua wakijifua mara mbili kwa siku asubuhi na jioni katika uwanja wa Karume katika kujiweka fit na maandalizi ya mchezo huo.Kufuatia baadhi ya wachezaji kuwa na majukumu na timu zao kujiandaa na mchezo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Tkq652QT5m4/U5bOuBaTdNI/AAAAAAAFphA/m1LE4z-g9Ms/s72-c/Wallace-Karia.jpg)
TAARIFA TOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF) LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Tkq652QT5m4/U5bOuBaTdNI/AAAAAAAFphA/m1LE4z-g9Ms/s1600/Wallace-Karia.jpg)
Uzinduzi wa kozi hiyo ya wiki mbili utafanywa leo (Juni 10 mwaka huu) saa 6 mchana kwenye hosteli za TFF zilizopo Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam.
Makocha zaidi ya 20 wenye Leseni C kutoka Tanzania Bara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ixGLWofD8Go/VR0L0Ucmr3I/AAAAAAAHO5M/AO-AVMRr7YY/s72-c/tff2.jpg)
TAARIFA ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF).
![](http://4.bp.blogspot.com/-ixGLWofD8Go/VR0L0Ucmr3I/AAAAAAAHO5M/AO-AVMRr7YY/s1600/tff2.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) ijumaa ya tarehe 10, Aprili mwaka huu, itashuka dimbani Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuwakarisbisha timu ya Taifa ya Wanawake ya Zambia (The She-Polopolo).
Twiga Stars inayonolewa na kocha mkuu Rogasian Kaijage iliingia kambini mwishoni mwa wiki na kikosi cha wachezaji 25 katika hostel za TFF zilizopo Karume, kujiandaa na mchezo huo ambao ni muhimu wa kuwania kufuzu kwa fainali za michezo ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gdQl_F6T1ko/VSziAFMmzVI/AAAAAAAHRDw/D8uX8MOBE6U/s72-c/tff_LOGO1.jpg)
TAARIFA ZA MICHEZO KUTOKA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gdQl_F6T1ko/VSziAFMmzVI/AAAAAAAHRDw/D8uX8MOBE6U/s1600/tff_LOGO1.jpg)
Kocha Jackson Mayanja wa Kagera Sugar amepigwa faini ya sh. 500,000 na kufungiwa mechi tatu kwa kutoa lugha ya kashfa kwa maneno na vitendo kwa waamuzi wa mechi yao na Mtibwa Sugar kuwa walipewa rushwa.
Adhabu dhidi ya Kocha Mayanja kwenye mechi hiyo namba 136 iliyochezwa Aprili 1, 2015 kwenye Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga imetolewa kwa kuzingatia kanuni ya 40(1) ya Ligi Kuu.
Klabu ya Mtibwa Sugar imepigwa faini ya sh. 500,000 baada...