TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA YA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris 2020 yanayofanyika jijini Paris, Ufaransa kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Maonesho hayo ambayo yalifunguliwa na Mhe. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, yanatarajiwa kutembelewa na zaidi ya watu 600,000.
Wakati wa maonesho hayo, Tanzania itapata fursa ya kuonyesha bidhaa zake yakiwemo mazao ya kimkakati. Ujumbe wa Tanzania katika maonyesho hayo unaongozwa na Bw. Victor...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHseAp-jPcg/XlUHJieyD4I/AAAAAAALfQY/cTo8TM8yRfsYzSB1z7fYaEWwmSEAsaXAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200225-WA0006.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA KWANZA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RHseAp-jPcg/XlUHJieyD4I/AAAAAAALfQY/cTo8TM8yRfsYzSB1z7fYaEWwmSEAsaXAACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200225-WA0006.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris yanayofanyika mjini humo kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200225-WA0007.jpg)
Wageni mbalimbali wakipata maelezo kuhusu fursa za bidhaa za kilimo zinazopatikana Tanzania walipotembelea Banda la la Tanzania wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo yanayofanyika jijini...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wUAKMSBUeN4/VJGaJiViWXI/AAAAAAAG38Y/_mbEk-dvtSw/s72-c/IMG-20140209-WA0009.jpg)
MAONYESHO YA KWANZA YA KIMATAIFA YA VIPAJI MPIRA WA MIGUU KWA VIJANA WALIOKO SHULENI NA VYUONI, TANZANIA DESEMBA 19 — 21 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-wUAKMSBUeN4/VJGaJiViWXI/AAAAAAAG38Y/_mbEk-dvtSw/s1600/IMG-20140209-WA0009.jpg)
Maonyesho haya ni nafasi dhahiri kwa vijana wenye vipaji vya kusakata mpira wa miguu, wavulana kwa wasichana, kucheza soka nchini Marekani huku wakisoma katika vyuo vya nchini humo kwa kulipiwa gharama zote....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s72-c/IMG-20140827-WA0001.jpg)
Rais Armando Guebuze Wa Msumbiji afungua Maonyesho Biashara ya Kimataifa Mjinj Maputo,Tanzania yashiriki vyema
![](http://4.bp.blogspot.com/-cwYe_A5VCIM/U_2UeA_E5JI/AAAAAAAGCmY/geYd641wFNE/s1600/IMG-20140827-WA0001.jpg)
10 years ago
MichuziUTT AMIS YASHIRIKI MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIASHARA YA 39 NA KUTOA ELIMU YA UWEKEZAJI KWENYE MIFUKO YA PAMOJA KWA WANANCHI
Mpaka sasa UTT AMIS inaendesha mifuko mitano ambayo ni Mfuko wa Umoja, Mfuko wa Wekeza Maisha, Mfuko wa Watoto,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
MAHAKAMA YA TANZANIA YASHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 39 YA BIASHARA YA KIMATAIFA ‘SABASABA’ 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-kRqXkrUnE4Q/VZMGlo3qc2I/AAAAAAAHmC4/1xtugH6DQ2c/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
9 years ago
MichuziNSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA ABITAT JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziBENKI YA EXIM TANZANIA YASHIRIKI MAONYESHO YA 18 YA WIKI YA MAZIWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA.
10 years ago
MichuziDKT. TITUS KAMANI ATEMBELEA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO NCHINI UFARANSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-lQxpcKIoiHI/VPVwjwpFLDI/AAAAAAAHHTE/GCPHLe7N1Vs/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zlte5cjWeSY/U3zGtFtzK2I/AAAAAAAFkLs/iiE8YJWVd_4/s72-c/PSPF1.jpg)
PSPF yashiriki katika maonyesho ya TCU jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-zlte5cjWeSY/U3zGtFtzK2I/AAAAAAAFkLs/iiE8YJWVd_4/s1600/PSPF1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YFUl7Tmymdw/U3zGtqOaMFI/AAAAAAAFkL4/gfYEHmUR0EM/s1600/PSPF2.jpg)