Ikulu yang’ara SHIMIWI Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s72-c/01.jpg)
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo wakiwa kwenye maandamano siku ya ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI taifa yanayoendelea mjini Morogoro.
Baadhi ya wachezaji wa Timu ya Ikulu wakimsikiliza Mgeni Rasmi (hayupo pichani) wakati wa ufunguzi wa mashindano ya SHIMIWI taifa yanayoendelea mjini Morogoro.
Yameanza vema mashindano ya Shirikisho la Michezo ya watumishi Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) kwa kuendeleza ushindi na kung’ara katika mashindano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-J--Ie9aArjo/VDMIOcHt1aI/AAAAAAAGoYA/jvuyELAvduQ/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Timu za Ikulu zaingia hatua ya robo fainali SHIMIWI mjini Morogoro
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-p_sYft3ZeF0/VC_e39zJ_2I/AAAAAAAGnvA/XJo1LrACvuo/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mahakama wang'ara Shimiwi
Timu ya Mahakama ambayo inanolewa na kocha wa zamani wa klabu ya Simba na timu ya Taifa, Abdallah “King Mputa” Kibadeni jana iliibuka na ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya Ras Tanga na kuingia hatua ya robo fainali.
Wakati timu ya soka ikiingia katika hatua hiyo muhimu, timu ya mchezo, kamba (wanawake na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
CCM yang’ara Chalinze
MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Kenya yang’ara , yaaibika China
9 years ago
Habarileo26 Aug
PPF yang’ara kwa mafanikio
MAFANIKIO makubwa na ya kujivunia yamefikiwa na Mfuko wa Pensheni wa PPF na kuwezesha mfuko huo kukuza thamani yake kutoka Sh bilioni 859.5, Septemba 2011 hadi kufikia Sh trilioni 2.1 Juni, mwaka huu ikiwa ni ongezeko la Sh trilioni moja.
10 years ago
Habarileo18 Aug
Dar yang’ara katika BRN
BAADA ya kuongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, Mkoa wa Dar es Salaam umeendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN), kwa shule zake kusimamia na kutoa mitihani ya utamilifu (mock) kwa manispaa zote tatu.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Yanga yang'ara Kombe la Mapinduzi