CCM yang’ara Chalinze
MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Dec
CCM yang’ara kila kona, Chadema yafuatia
MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika kote nchini juzi, yameanza kutangazwa huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiongoza katika maeneo mengi na kufuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Yanga yang'ara Kombe la Mapinduzi
11 years ago
Dewji Blog24 Sep
IPTL yang’ara Afrika Mashariki
-Sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya
-Kafulila aumbuka
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya kufua umeme ya Pan African Power Solution inayoimiliki kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imezidi kung’aa katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki katika kusambaza nishati ya umeme.
Hatua hiyo inasababishwa na serikali ya Kenya kuipatia barua kampuni hiyo ya kufanya nao kazi ya usambazaji umeme katika mradi unaohusisha nchi mbili za jumuia hiyo, ambazo ni Tanzania na Kenya.
Barua ya Kenya...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
‘Shoe Shine’ yang’ara kimataifa
SINEMA ya ‘Shoe Shine’ iliyofyatuliwa mwaka 2013 ikitengenezwa na kuongozwa na Amil Shivji, imeitangaza vema nchi katika tamasha la kimataifa la filamu (Festicab), ililofanyika Burundi kuanzia Juni 13-20. ‘Shoe Shine’...
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Kenya yang’ara , yaaibika China
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
TBL yang’ara tuzo za rais
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekuwa mshindi wa tuzo mbili za rais zilizoandaliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI). Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Dar es Salaam mwishoni mwa...
11 years ago
Habarileo03 Mar
Tanzania yang’ara mapinduzi ya kijani
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika, zinazosonga mbele vyema katika utekelezaji wa mapinduzi ya kijani kwa kuwezesha wananchi wake kuwa na chakula cha kutosha. Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imetoa maelezo hayo, wakati wataalamu wake walipokuwa na kikao cha mwaka mjini Unguja na kufafanua kuwa wameridhishwa na jinsi Tanzania inavyoendelea kukabiliana na tatizo la mbegu na uzalishaji wake.