IPTL yang’ara Afrika Mashariki
-Sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya
-Kafulila aumbuka
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya kufua umeme ya Pan African Power Solution inayoimiliki kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imezidi kung’aa katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki katika kusambaza nishati ya umeme.
Hatua hiyo inasababishwa na serikali ya Kenya kuipatia barua kampuni hiyo ya kufanya nao kazi ya usambazaji umeme katika mradi unaohusisha nchi mbili za jumuia hiyo, ambazo ni Tanzania na Kenya.
Barua ya Kenya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s72-c/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
AIRTEL YANG’ARA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s640/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel ,
Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel
kuibuka mshindi wa pili katika maonyesho ya Biashara ya Afrika
Mashariki ya mwaka huu. Katika maonyesho hayo Airtel ilipata makombe
manne katika vipengele mbalimbali ikiwemo, Mtoa huduma bora , Mtoa
huduma bora katika sekta ya mawasiliano, ubora katika mawasiliano ya
habari na tecknologia pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uYtPYEoTz6k/VDHLn6wMiLI/AAAAAAAGoMI/37lY6bTDcTg/s72-c/Laveda_med.jpg)
Tanzania yang'ara katika siku ya kwanza ya big brother afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-uYtPYEoTz6k/VDHLn6wMiLI/AAAAAAAGoMI/37lY6bTDcTg/s1600/Laveda_med.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cTOdDCTLuXQ/VDHLpaMpelI/AAAAAAAGoMQ/jX0MvvTBSxg/s1600/LavedaSAx_med.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVI-xguw0PfoRtFDuV2--nZiOfelCpiLJ9kcE9ZFmz3FaYVls7NcNTecGHFhW733549BNhKGzN7nv3OuNXC818jO/1.jpg?width=650)
TANZANIA YANG'ARA KATIKA SIKU YA KWANZA YA BIG BROTHER AFRIKA
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
CCM yang’ara Chalinze
MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
‘Shoe Shine’ yang’ara kimataifa
SINEMA ya ‘Shoe Shine’ iliyofyatuliwa mwaka 2013 ikitengenezwa na kuongozwa na Amil Shivji, imeitangaza vema nchi katika tamasha la kimataifa la filamu (Festicab), ililofanyika Burundi kuanzia Juni 13-20. ‘Shoe Shine’...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s72-c/01.jpg)
Ikulu yang’ara SHIMIWI Morogoro
![](http://3.bp.blogspot.com/-g_x8RKOm8_0/VCgt-20OLPI/AAAAAAAGmVE/fkmDwSzao6w/s1600/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yXemrCfgqPw/VCguAjYXI5I/AAAAAAAGmVM/6FC_PEBNm4E/s1600/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4cXpi0GXFRY/VCguAr1JXII/AAAAAAAGmVQ/4-tX-AK3QiI/s1600/03.jpg)