TANZANIA YANG'ARA KATIKA SIKU YA KWANZA YA BIG BROTHER AFRIKA
![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVI-xguw0PfoRtFDuV2--nZiOfelCpiLJ9kcE9ZFmz3FaYVls7NcNTecGHFhW733549BNhKGzN7nv3OuNXC818jO/1.jpg?width=650)
Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother Africa Hotshots usiku wa leo baada ya kushinda kwa kura nyingi sana shindano la vipaji ambapo kila mshiriki alipewa nafasi ya dakika tatu kuonesha kipaji chake. Laveda aliingia na Saxophone na kufurahisha kadamnasi kwa umahiri wake na hatimaye akapewa cheo cha kiongozi wa nyumba wa kwanza katika onesho hili kwa mwaka huu. Laveda...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uYtPYEoTz6k/VDHLn6wMiLI/AAAAAAAGoMI/37lY6bTDcTg/s72-c/Laveda_med.jpg)
Tanzania yang'ara katika siku ya kwanza ya big brother afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-uYtPYEoTz6k/VDHLn6wMiLI/AAAAAAAGoMI/37lY6bTDcTg/s1600/Laveda_med.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cTOdDCTLuXQ/VDHLpaMpelI/AAAAAAAGoMQ/jX0MvvTBSxg/s1600/LavedaSAx_med.png)
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Tanzania yang’ara uzinduzi wa Big Brother HOTSHOTS!
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS msimu wa tisa iliyoandaliwa maalum kwa wadau wa DStv na waandishi wa habari usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena.
Bi. Kambogi alitoa rai kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa kuwapigia kura nyingi washiriki wetu wawili wanaoiwakilisha nchi kwenye shindano hilo na kutoa angalizo kwa wazazi na walezi kuhusiana na shindano...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s72-c/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
AIRTEL YANG’ARA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s640/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel ,
Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel
kuibuka mshindi wa pili katika maonyesho ya Biashara ya Afrika
Mashariki ya mwaka huu. Katika maonyesho hayo Airtel ilipata makombe
manne katika vipengele mbalimbali ikiwemo, Mtoa huduma bora , Mtoa
huduma bora katika sekta ya mawasiliano, ubora katika mawasiliano ya
habari na tecknologia pamoja na...
11 years ago
Habarileo10 Mar
Tanzania yang’ara katika utawala bora
MPANGO wa Afrika wa kujitathmini kiutawala bora (APRM) umebainisha kuwa Tanzania ni moja ya nchi zinazofanya vizuri katika utawala bora.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRjJBoxEmT9uJMDVsqeOpAZqrHt3Lmn70E3upIzGDbE4Zgme-c40ZoXF8YFKYIr8KkxsJg0*Z-fttEv9Z30aqEp/web3.jpg?width=650)
NSSF YANG'ARA MASHINDANO YA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
IPTL yang’ara Afrika Mashariki
-Sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya
-Kafulila aumbuka
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI ya kufua umeme ya Pan African Power Solution inayoimiliki kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) imezidi kung’aa katika nchi za jumuia ya Afrika Mashariki katika kusambaza nishati ya umeme.
Hatua hiyo inasababishwa na serikali ya Kenya kuipatia barua kampuni hiyo ya kufanya nao kazi ya usambazaji umeme katika mradi unaohusisha nchi mbili za jumuia hiyo, ambazo ni Tanzania na Kenya.
Barua ya Kenya...
10 years ago
Vijimambo23 Sep
HUYU NDO MSHIRIKI MWINGINE MWANAMKE TOKA TANZANIA ANAYE KWENDA BIG BROTHER AFRIKA ANAITWA LAVEDA
![](http://timesfm.co.tz/content/uploads/2014/9/22/cache/Laveda_full.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima24 Nov
TBL yang’ara siku ya mlipa kodi
KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imeendelea kuongoza katika uchangiaji wa pato la taifa kupitia ulipaji kodi ambapo mwaka huu imetangazwa kuwa miongoni mwa wachingiaji wakubwa wa kodi hapa nchini. Akizungumza...
10 years ago
Bongo511 Sep
Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?