Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBL yang’ara siku ya mlipa kodi

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imeendelea kuongoza katika uchangiaji wa pato la taifa kupitia ulipaji kodi ambapo mwaka huu imetangazwa kuwa miongoni mwa wachingiaji wakubwa wa kodi hapa nchini. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TBL yang’ara tuzo za rais

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imekuwa mshindi wa tuzo mbili za rais zilizoandaliwa na Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI). Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika Dar es Salaam mwishoni mwa...

 

10 years ago

Michuzi

Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi ya TRA yafanyika leo Jijini Dar

Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi,Waziri Kiongozi (Mstaafu),Mh. Shamsi Vuai Nahodha akitoa hotuba yake katika kilele cha Maadhimisho hayo yaliyofanyika leo Novemba 21,2014 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu J.K. Nyerere,Jijini Dar es Salaam.Picha zote na Othman Michuzi.Naibu Waziri wa Fedha,Mh. Adam Malima akitoa nasaha zake kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakati wa Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi yenye kauli mbiu isemayo "Risiti ni...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yang'ara katika siku ya kwanza ya big brother afrika

 Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother Africa Hotshots usiku wa leo baada ya kushinda kwa kura nyingi sana shindano la vipaji ambapo kila mshiriki alipewa nafasi ya dakika tatu kuonesha kipaji chake. Laveda aliingia na Saxophone na kufurahisha kadamnasi kwa umahiri wake na hatimaye akapewa cheo cha kiongozi wa nyumba wa kwanza katika onesho hili kwa mwaka huu.Laveda akipuliza saxophone kwa umahiri mkubwa uliompa kura kibao usiku huu....

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YANG'ARA KATIKA SIKU YA KWANZA YA BIG BROTHER AFRIKA

Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother Africa Hotshots usiku wa leo baada ya kushinda kwa kura nyingi sana shindano la vipaji ambapo kila mshiriki alipewa nafasi ya dakika tatu kuonesha kipaji chake. Laveda aliingia na Saxophone na kufurahisha kadamnasi kwa umahiri wake na hatimaye akapewa cheo cha kiongozi wa nyumba wa kwanza katika onesho hili kwa mwaka huu. Laveda...

 

9 years ago

Habarileo

‘Msikubali kulipia namba ya mlipa kodi’

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imewataka wananchi kutoa taarifa endapo watatozwa fedha ili wapate namba ya mlipa kodi (Tin number), kwa sababu hutolewa bure katika ofisi zote za mamlaka hiyo.

 

10 years ago

GPL

BONANZA LA UFUNGUZI WA WIKI YA MLIPA KODI YA TRA LAFANA JIJINI DAR

Mgeni rasmi kwenye Bonanza la Ufunguzi wa Wiki ya Mlipa Kodi ambaye ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Tiagi Masamaki akitoa nasaha zake kwa washiriki wa Bonanza hilo lililofanyika jana Novemba 15,2014 kwenye viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugeni wa Elimu na Huduma wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Allan Kiulla (kulia) akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni...

 

5 years ago

Michuzi

RC TABORA AWATAKA TRA KUTUMIA TEHAMA KUJENGA MAZINGIRA RAFIKI NA MLIPA KODI

 Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ( wa tatu kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja  na Watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) mara baada ya kufunga mafunzo ya siku sita ya matumizi ya mifumo ya TEHAMA katika utendaji kazi kwa  Watendaji wa TRA wa Mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora wanaohusika na ukusanyaji wa mapato. Baadhi ya Watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) wakiwa katika siku ya mwisho ya  mafunzo ya siku sita  ya matumizi ya mifumo ya TEHAMA katika kuongeza...

 

10 years ago

Michuzi

Bonanza la Ufunguzi wa Wiki ya Mlipa Kodi ya TRA lafanyika leo jijini Dar

Mgeni rasmi kwenye Bonanza la Ufunguzi wa Wiki ya Mlipa Kodi ambaye ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Tiagi Masamaki akitoa nasaha zake kwa washiriki wa Bonanza hilo lililofanyika leo Novemba 15,2014 kwenye viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar es Salaam.Picha zote na Othman Michuzi.Kaimu Mkurugeni wa Elimu na Huduma wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Allan Kiulla (kulia) akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi kwenye Bonanza la Ufunguzi wa Wiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani