Bonanza la Ufunguzi wa Wiki ya Mlipa Kodi ya TRA lafanyika leo jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-6srPbZUgeew/VGdMmaaV-zI/AAAAAAAGxeE/xfVqyozq4yo/s72-c/76.jpg)
Mgeni rasmi kwenye Bonanza la Ufunguzi wa Wiki ya Mlipa Kodi ambaye ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Tiagi Masamaki akitoa nasaha zake kwa washiriki wa Bonanza hilo lililofanyika leo Novemba 15,2014 kwenye viwanja vya TCC Club,Chang'ombe jijini Dar es Salaam.Picha zote na Othman Michuzi.
Kaimu Mkurugeni wa Elimu na Huduma wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Allan Kiulla (kulia) akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi kwenye Bonanza la Ufunguzi wa Wiki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-6srPbZUgeew/VGdMmaaV-zI/AAAAAAAGxeE/xfVqyozq4yo/s1600/76.jpg?width=650)
BONANZA LA UFUNGUZI WA WIKI YA MLIPA KODI YA TRA LAFANA JIJINI DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JiwA6oVpS88/VG9P48tPUzI/AAAAAAAGyrg/RBrYbXXh5gk/s72-c/30.jpg)
Maadhimisho ya nane ya Siku ya Mlipa Kodi ya TRA yafanyika leo Jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-JiwA6oVpS88/VG9P48tPUzI/AAAAAAAGyrg/RBrYbXXh5gk/s1600/30.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KrZXt6Db0mg/VG9P32kZeSI/AAAAAAAGyrQ/A6ilDcyUH7g/s1600/28.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_oG981esUIY/VGs-Xts7TeI/AAAAAAAGyCc/Dc8H48Q2EPw/s72-c/3.jpg)
TRA yaendelea na Maadhimisho ya Wiki ya Mlipa Kodi Tanzania,Yatoa Msaada Hospitali ya Temeke na Kukabidhi Madawati 100 Shule ya Msingi Misitu,Kivule
Mara baada ya kukamilisha shughuli zote za hospitalini hapo,Wafanyakazi hao walielekea...
9 years ago
MichuziBONANZA LA UZAZI WA MPANGO KWA VIJANA LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM
5 years ago
MichuziRC TABORA AWATAKA TRA KUTUMIA TEHAMA KUJENGA MAZINGIRA RAFIKI NA MLIPA KODI
11 years ago
GPLBONANZA LA MICHEZO LA VIJANA LAFANYIKA JIJINI MBEYA
10 years ago
MichuziKONGAMANO LA KWANZA LA WANAWAKE WAFANYABIASHARA SOKONI TANZANIA LAFANYIKA JIJINI DAR LEO.
MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Utafiti Tanzania (Repoa), Samwel Wangwe amewataka watanzania kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo hususani wanawake kwani wananafasi kubwa ya kuchangia pato la Taifa.
Akizunguza Dar es Salaam leo wakati wa Ufunguzi wa Kongamano la kwanza la wanawake wafanyabiashara sokoni Tanzania, Wangwe alisema ni muhimu kuhakikisha wafanyabiashara hao wanawezeshwa na kuwajali katika uzalishaji na uendeshaji wa biashara zao.
Alisema kwa mujibu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X38ng6t27ag/Uw8cFiso0vI/AAAAAAAFP-A/njrIt3xl2dg/s72-c/unnamed+(56).jpg)
ufunguzi wa mkutano wa bodi ya wakandarasi jijini dar leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-X38ng6t27ag/Uw8cFiso0vI/AAAAAAAFP-A/njrIt3xl2dg/s1600/unnamed+(56).jpg)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akifurahia jambo wakati akifungua mkutano wa Bodi ya Wakandarasi Nchini (CRB) na wadau wa manispaa tatu za Jiji la Dar es Salaam. Kulia ni Msajili wa Bodi ya CRB, Boniface Muhegi na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Joseph Tango.
![](http://1.bp.blogspot.com/-gXRRh0vgKng/Uw8cGT4e4sI/AAAAAAAFP-E/CRwnqTTnhzU/s1600/unnamed+(57).jpg)
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, akibadilishana mawazo na Msajili wa Bodi ya Wakandarasi Nchini (CRB), Boniface Muhegi na Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Joseph Tango, mara baada ya kufungua...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xl-0UoFm_EY/VcYaPkku4WI/AAAAAAAAXUQ/ZcDCDujfsL8/s72-c/aveva.jpg)
BONANZA LA SIMBA DAY LILIVYOFANYA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-xl-0UoFm_EY/VcYaPkku4WI/AAAAAAAAXUQ/ZcDCDujfsL8/s640/aveva.jpg)