BONANZA LA SIMBA DAY LILIVYOFANYA UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-xl-0UoFm_EY/VcYaPkku4WI/AAAAAAAAXUQ/ZcDCDujfsL8/s72-c/aveva.jpg)
RAIS wa klabu ya soka ya Simba, Evans Aveva, (pichani juu), jana alikuwa kama kocha wa Chelsea, Josse Morinho, kutokana na jinsi alivyokuwa akiwaelekeza wachezaji wa timu ya viongozi wa Simba dhidi ya timu ya soma ya wasanii wa bongo movie na bongo flava kwenye maadhimisho ya siku ya Simba almaarufu kama Simba Day.Aveva abaye alikuwa “kaulamba” yaani kapiga suti yake nyeusi, alikuwa ndio “kocha wa timu hiyo ya viongozi wa Simba.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
Mshambuliaji wa timu ya Yanga , Hamis Kiiza (kulia) akiwania mpira na beki wa timu ya Simba, Nassor Masoud, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1 Simba.
Mshamuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Simon Msumva (kulia) akijaribu kuwatoka mabeki wa timu ya Simba, katika mchezo wa Ligi kuu Tanzania Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam leo.hadi mwisho wa mchezo,matokeni Yanga 1-1...
10 years ago
MichuziSIMBA YAITUNGUA GOR MAHIA BAO 3-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-w-321q2XNK8/XmU2gaIewFI/AAAAAAACIYE/vMPCQwUEDM4hs1MbPb5JH0XeFVrm61XtQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI ASHUHUDIA YANGA IKIIBUGIZA SIMBA 1-0, UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-w-321q2XNK8/XmU2gaIewFI/AAAAAAACIYE/vMPCQwUEDM4hs1MbPb5JH0XeFVrm61XtQCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-upxyNIq9zHI/XmU1WlKgb8I/AAAAAAACIXY/L7LvL_NTmK04AWjg1dSw8oMWRZIbqlNPwCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ytclAkM-yl4/VMzjjiZJkOI/AAAAAAAHAiA/zubC6j28fb8/s72-c/MMGM0020.jpg)
MTANANGE WA SIMBA NA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ytclAkM-yl4/VMzjjiZJkOI/AAAAAAAHAiA/zubC6j28fb8/s1600/MMGM0020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VDp7CGcQxWA/VMzjkJSpwzI/AAAAAAAHAiI/YRvch84grsQ/s1600/MMGM0046.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DKDRKdV3yWI/VMzjkEp4bzI/AAAAAAAHAiE/UYWhJR5-svc/s1600/MMGM0048.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MxSZ2uNgJ4o/XmUp4HNO_jI/AAAAAAALh-Y/01C2o3Ku2iAqeVCZXgpN55bGhlZvnaDRACLcBGAsYHQ/s72-c/1AA-4-768x512.jpg)
RAIS DKT.MAGUFULI ASHUHUDIA YANGA IKIICHAPA 1-0 SIMBA SC UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-MxSZ2uNgJ4o/XmUp4HNO_jI/AAAAAAALh-Y/01C2o3Ku2iAqeVCZXgpN55bGhlZvnaDRACLcBGAsYHQ/s640/1AA-4-768x512.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Vijana, Sanaa na Michezo wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Balozi Ali Karume pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu wakiwapungia mkono wa salamu kwa Wapenzi nan a Mashabiki waliojitokeza katika Mchezo wa Ligi kuu wa Watani wa jadi kati ya Yanga na Simba Uliochezwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Machi 08, 2020. Mchezo uliomalizika kwa Ushindi wa goli moja kwa Yanga...
10 years ago
Vijimambo31 Jan
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…
![](http://api.ning.com/files/lQ0QUhfJdPH3clEPGgip55xJJqfb2yRLfvpv1jYYpHG7WGe1NvjVBbexK*lKZRoqwrmLn0XizapiW8qXb-am-abjsWdIBTTE/sserunkuma22.jpg?width=750)
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.
11 years ago
MichuziYANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s72-c/MMGL0007.jpg)
YANGA YAICHAPA MBEYA CITY BAO 3 - 1 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-FUQHokRz_0A/VSp8a54ONpI/AAAAAAAHQqs/qKsElTk7mnQ/s1600/MMGL0007.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nafz-CBBzlI/VSp8pguCB9I/AAAAAAAHQq0/zC6U5Se41Cg/s1600/MMGL0157.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TfBusODcBn0/VSp9UZyQ-iI/AAAAAAAHQrA/mY1cGA8CE3k/s1600/MMGL0186.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10