MTANANGE WA SIMBA NA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ytclAkM-yl4/VMzjjiZJkOI/AAAAAAAHAiA/zubC6j28fb8/s72-c/MMGM0020.jpg)
Beki wa timu ya Simba,Hassan Isihaka (26) akiangalia namna ya kumzuia Mshambuliaji wa Timu ya JKT Ruvu,Jabir Aziz katika mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara,unaopigwa hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.Simba inaomgoza kwa Bao 2-1.
Nyanda wa Timu ya Simba,Ivo Mapunda akiwania mpira wa juu na Mshambuliaji wa timu ya JKT Ruvu,Samuel Kamuntu katika mtanange wa Ligi Kuu Tanzania Bara,unaopigwa hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.Simba inaomgoza kwa Bao 2-1.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s72-c/IMG_3712.jpg)
Mtanange wa Simba na JKT Ruvu Uwanja wa Taifa hivi sasa: Simba washalala kwa bao 2 - 0
![](http://1.bp.blogspot.com/-qlralvQLbCA/Uwn-FsrthcI/AAAAAAAFPE8/VQACTSdHa2Y/s1600/IMG_3712.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iRYbrDUfPqk/Uwn-Gn-TwHI/AAAAAAAFPFE/eMIQriaeepY/s1600/IMG_3714.jpg)
Wachezaji wa timu ya JKT Ruvu wakishangilia mara baada ya kuitandika Simba bao la pili.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3hVNN8-3Bpc/UxHl0PCW4ZI/AAAAAAAFQbQ/p6jPZztuoiU/s72-c/MMG25630.jpg)
MTANANGE KATI YA YANGA NA AL AHLY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3hVNN8-3Bpc/UxHl0PCW4ZI/AAAAAAAFQbQ/p6jPZztuoiU/s1600/MMG25630.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euBC40q7RIE/UxHl0Zzw-XI/AAAAAAAFQbU/9AW371wKUMY/s1600/MMG25643.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IbSELfDAkH4/UxHnW_A8QUI/AAAAAAAFQbk/OshUbOv4YSg/s1600/MMG25849.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-elUDEzmN9Fs/UxHnaQKBl8I/AAAAAAAFQbs/y2vczCrAI5o/s1600/MMG25771.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s72-c/MMG20203.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s1600/MMG20203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y_TcBJBhQDU/UvY47X4fZFI/AAAAAAAFLvo/2my7ZRqMF4w/s1600/MMG20165.jpg)
10 years ago
Vijimambo31 Jan
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…
![](http://api.ning.com/files/lQ0QUhfJdPH3clEPGgip55xJJqfb2yRLfvpv1jYYpHG7WGe1NvjVBbexK*lKZRoqwrmLn0XizapiW8qXb-am-abjsWdIBTTE/sserunkuma22.jpg?width=750)
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.
11 years ago
MichuziYANGA YAINYOA RUVU SHOOTING BAO 7-0 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BoA8zvESaB0/VRLhCMZjqdI/AAAAAAABVnw/rqUra5lb1q4/s72-c/kushangilia-4.jpg)
YANGA YAIPIGISHA KWATA JKT RUVU UWANJA WA TAIFA LEO,YAICHAPA BAO 3 - 1
![](http://3.bp.blogspot.com/-BoA8zvESaB0/VRLhCMZjqdI/AAAAAAABVnw/rqUra5lb1q4/s1600/kushangilia-4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xkFGJoOK3J0/VRLhCTmN8II/AAAAAAABVn0/0RUPZejCmr4/s1600/msuva%2Btena.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9JiH1UMaR84/VRLhEoReeJI/AAAAAAABVoA/F55b0AYruvI/s1600/msuva.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA...
10 years ago
Mtanzania31 Jan
Simba, JKT Ruvu kazi ipo Taifa
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba leo itakuwa na shughuli pevu ya kusaka ushindi itakapovaana na JKT Ruvu katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 jioni.
Simba itaingia dimbani ikiwa na kumbukumbu ya kufungwa mabao 2-1 na Mbeya City kwenye mchezo uliopita uliofanyika Jumatano iliyopita, JKT Ruvu wao waliambulia sare ya bao 1-1 walipovaana na Mtibwa Sugar.
Kipigo dhidi ya Mbeya City kilipelekea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lQ0QUhfJdPFUl0yHCFaz*gwEZCyKzyerKWT10cbxuV0mxdcydwYoEa1MZtcRIsIVST12T9sxBiQSbWMOF*KpxQ7JVw3ii*5J/s4.jpg?width=750)
SIMBA YASHINDA BAO 2- 0 DHIDI YA JKT RUVU TAIFA