Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?
Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zXn9yhvvcVk/VBvztdypjgI/AAAAAAAAhYc/sdBkFMBAFrI/s72-c/Idris.jpg)
TAARIFA KAMILI KUHUSU JAMAA ATAKAYEIWAKILISHA TANZANIA KWENYE NYUMBA YA BIG BROTHER AFRICA MWAKA HUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-zXn9yhvvcVk/VBvztdypjgI/AAAAAAAAhYc/sdBkFMBAFrI/s640/Idris.jpg)
10 years ago
Bongo520 Sep
Big Brother Africa Hotshots kufanyika kwa siku 63 badala ya 91
Mashabiki wa reality show ya Big Brother Africa mwaka huu watakuwa na muda mfupi zaidi wa kupata burudani ya kipindi hicho, baada ya siku za washiriki kukaa kwenye mjengo wa Biggie kupunguzwa kutoka 91 kama ilivyokuwa miaka mingine hadi siku 63. Huenda kupunguzwa kwa siku kumketokana na BBA Hotshots kuchelewa kuanza baada ya nyumba iliyokuwa […]
10 years ago
Bongo501 Sep
Diamond kutumbuiza kwenye uzinduzi wa Big Brother Africa, Jumamosi
Diamond Platnumz atakuwa miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye uzinduzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa utakayofanyika Jumamosi hii, September 7 nchini Afrika Kusini. Akizungumza na bongo5 leo, meneja wa staa huyo, Babu Tale amesema Diamond atarejea leo akitokea nchini Ujerumani ili kujianda ya na show hiyo. “Diamond anarudi leo saa tano usiku […]
10 years ago
Bongo505 Sep
Big Brother Africa kuwasafirisha washiriki na maproducer popote pale nyumba mpya itakapopatikana ‘duniani’
M-Net na Endemol South Africa wamesema wanatafuta nyumba nyingine yenye kamera popote pale duniani, baada ya ile iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya kipindi cha Big Brother Afrika 2014 kuripotiwa kuungua mapema wiki hii. Msimu wa tisa wa Big Brother Afrika: Hotshots ambao umepangwa kuanza Jumapili hii (kama swala la moto sio stunt), ulitangazwa kuahirishwa kuzinduliwa kwa […]
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s72-c/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
HAWA NDO WATAKAOIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BIG BROTHER AFRICA 2014
Tweet
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s1600/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
Ingia kutazama picha zao...
![](http://1.bp.blogspot.com/-cm7VznTzRbk/VCAGScYZIlI/AAAAAAAABJo/y7eBU-R-nz0/s1600/Idris.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WU1fzc2ZKU0/VCAGWOsqR2I/AAAAAAAABJw/ghLq5nVfsCc/s1600/laveda.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s1600/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
Ingia kutazama picha zao...
![](http://1.bp.blogspot.com/-cm7VznTzRbk/VCAGScYZIlI/AAAAAAAABJo/y7eBU-R-nz0/s1600/Idris.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WU1fzc2ZKU0/VCAGWOsqR2I/AAAAAAAABJw/ghLq5nVfsCc/s1600/laveda.jpg)
10 years ago
Bongo516 Oct
Elani (Kenya) kutumbuiza Jumapili hii kwenye Big Brother Africa
Kundi la Kenya, Elani, linaloundwa na watu watatu, Bryan Chweya, Maureen Kunga na Wambui Ngugi litatumbuiza Jumapili hii kwenye shindano la Big Brother Africa. Kundi hilo lililotajwa pia kuwania tuzo za CHOAMVA 2014 lina album iitwayo ‘Barua Ya Dunia’ na linafanya Afrika Mashariki na kwingineko Nyimbo zao nyingi ni za Kiswahili fasaha
10 years ago
Vijimambo12 Nov
MPIGIE KURA IDRIS KUBAKI KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA
BOFYA HAPO JUU VOTE AU PIGA KURA KISHA CHAGUA JINA LA IDRIS PIGA KURA YAKO HAPO MOJA KWA MOJA. PIA UNAWEZA KUMPIGIA KURA KWA UJUMBE MFUPI WA MAANDISHI YAANI SMS ANDIKA NENO VOTE IDRIS TUMA KWENDA NAMBA 15426 MPIGIE KURA MARA NYINGI UWEZAVYO
10 years ago
Bongo506 Sep
Big Brother Africa: M-Net yatangaza kuwa nyumba mpya imepatikana na show itaendelea ‘mwezi ujao’
Baada ya uzinduzi wa msimu wa tisa wa show ya Big Brother Africa uliopewa jina la ‘HotShots’ uliokuwa ufanyike Jumapili hii, kutangazwa kuahirishwa baada ya kutokea kwa ajali ya moto iliyodaiwa kuteketeza nyumba iliyokuwa imeandaliwa kwaaliji ya show hiyo, hatimaye M-Net na Endemol SA wametangaza kuwa tayari nyumba imepatikana na show itaendelea. Katika taarifa iliyowekwa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania