Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Big Brother Africa Hotshots kufanyika kwa siku 63 badala ya 91

Mashabiki wa reality show ya Big Brother Africa mwaka huu watakuwa na muda mfupi zaidi wa kupata burudani ya kipindi hicho, baada ya siku za washiriki kukaa kwenye mjengo wa Biggie kupunguzwa kutoka 91 kama ilivyokuwa miaka mingine hadi siku 63. Huenda kupunguzwa kwa siku kumketokana na BBA Hotshots kuchelewa kuanza baada ya nyumba iliyokuwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?

Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Idris Sultan aitoa kimasomaso Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots

10329972_10204046474311089_1055068807819044995_o

Mshiriki wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots Idris Sultan ameibuka kidedea kwa kutwaa taji msimu wa 9 wa shindano BBA Hotshots na kujinyakulia kitita cha dola za kimarekani 300,000.

Shindano hilo lilidumu kwa muda miezi 2 sawa na siku 60 na kumalizika usiku leo nchini Afrika Kusini, ambalo lilishirikisha washiriki 26 kutoka nchi mbalimbali za bara la Afrika na kisha baadhi yao kutolewa kwa kukosa kura na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea ndani ya jumba hilo na...

 

10 years ago

Bongo5

Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii

DJ Tass wa kituo cha radio cha Magic Fm pamoja na kipindi cha Wakilisha cha Maisha Magic-DSTV amepata shavu la kwenda kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii. Tass ameiambia Bongo5 kuwa ataondoka Dar es salaam Ijumaa hii kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini. Kupitia Instagram pia ameshare taarifa hiyo kwa kuandika, “Official Dj […]

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA BIG BROTHER HOTSHOTS ULIVYOKUWA KWA MZEE MADIBA

Msanii wa Tanzania, Diamond (katikati) akiwa na madansa wake wakionyesha manjonjo yao wakati akifanya shoo kwenye uzinduzi wa Big Brother HotShots jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini, Jumapili iliyopita. Diamond aliteka umati uliojitokeza kwenye uzinduzi wa Big Brother HotShots kwa kutoa shoo nzuri ambapo aliimba wimbo wa My Number One.… ...

 

11 years ago

Michuzi

Big Brother Hotshots revealed

Fans of Africa’s biggest reality show, Big Brother Africa, will no longer have to wait in anticipation until the launch on the 5th of October to meet the Big Brother Hotshots. 
In a bold and ground breaking move, M-Net and series producers Endemol SA will be delivering a new world first by unveiling the names of the participating housemates live on the official Big Brother website which launches at 14h00 CAT on  Wednesday 17 September.
Three Big Brother housemates will be introduced on a daily...

 

10 years ago

Dewji Blog

Big Brother Hotshots — Eviction Show

IMG_6400

(Sunday, 16 November) two big Brother Hotshots Housemates were evicted, Samantha from South Africa and Mr 265 from Malawi.  Biggie also introduced former Big Brother Housemates to be paired up with the Hotshots Housemates for one. Africa’s biggest reality show Big Brother Hotshots, produced for M-Net’s AfricaMagic, is being screened live 24/7 on DStv 197/198. For more information log on to www.bigbrotherafrica.com Picture here: The Hotshots Housemates

IMG_6907

Pictured here: Samantha, IK and Mr...

 

11 years ago

Michuzi

Big Brother Hotshots - Launch Show

Africa’s biggest reality show Big Brother Hotshots, produced for M-Net’s AfricaMagic, is being screened live 24/7 on DStv 197/198. For more information log on to www.bigbrotherafrica.com Pictured here: Laveda (Tanzania)

 

11 years ago

Bongo5

Big Brother Hotshots kuzinduliwa October 5

Shindano la Big Brother Hotshots litazinduliwa October 5, makampuni ya M-Net na Endemol SA yamesema. Makampuni hayo yamedai kuwa nyumba mpya ya Big Brother imepatikana jijini Johannesburg, Afrika Kusini baada ya kile walichodai moto kuunguza jumba la kwanza September 2. “M-Net and Endemol SA are pleased to announce that Big Brother Hotshots will officially launch […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani