Elani (Kenya) kutumbuiza Jumapili hii kwenye Big Brother Africa
Kundi la Kenya, Elani, linaloundwa na watu watatu, Bryan Chweya, Maureen Kunga na Wambui Ngugi litatumbuiza Jumapili hii kwenye shindano la Big Brother Africa. Kundi hilo lililotajwa pia kuwania tuzo za CHOAMVA 2014 lina album iitwayo ‘Barua Ya Dunia’ na linafanya Afrika Mashariki na kwingineko Nyimbo zao nyingi ni za Kiswahili fasaha
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Nov
Dj Tass wa Magic Fm apata shavu la kutumbuiza kwenye Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii
DJ Tass wa kituo cha radio cha Magic Fm pamoja na kipindi cha Wakilisha cha Maisha Magic-DSTV amepata shavu la kwenda kutumbuiza kwenye jumba la Big Brother Africa Hotshots Ijumaa hii. Tass ameiambia Bongo5 kuwa ataondoka Dar es salaam Ijumaa hii kuelekea Johannesburg, Afrika Kusini. Kupitia Instagram pia ameshare taarifa hiyo kwa kuandika, “Official Dj […]
10 years ago
Bongo501 Sep
Diamond kutumbuiza kwenye uzinduzi wa Big Brother Africa, Jumamosi
Diamond Platnumz atakuwa miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye uzinduzi wa msimu mpya wa shindano la Big Brother Africa utakayofanyika Jumamosi hii, September 7 nchini Afrika Kusini. Akizungumza na bongo5 leo, meneja wa staa huyo, Babu Tale amesema Diamond atarejea leo akitokea nchini Ujerumani ili kujianda ya na show hiyo. “Diamond anarudi leo saa tano usiku […]
10 years ago
Bongo511 Sep
Big Brother Africa ‘Hot Shots’ kufanyika Uingereza kwenye nyumba ya ‘Big Brother ya UK’?
Kuna habari mpya zinazosema kuwa kuna uwezekano shindano la Big Brother Africa ‘Hot Shots’ likahamishiwa jijini London, Uingereza baada ya nyumba ya Afrika Kusini iliyokuwa imeandaliwa kwaajili ya msimu wa tisa kuungua wiki iliyopita na kupelekea uzinduzi uliokuwa umepangwa kufanyika Jumapili iliyopita (September 7) kuahirishwa. Taarifa hiyo ambayo bado haijathibitishwa imetolewa kupitia ukurasa rasmi wa […]
10 years ago
Bongo505 Dec
Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!
Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa kiasi kikubwa pia. Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother Africa, Hotshots. Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu […]
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s72-c/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
HAWA NDO WATAKAOIWAKILISHA TANZANIA KWENYE BIG BROTHER AFRICA 2014
Tweet
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s1600/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
Ingia kutazama picha zao...
![](http://1.bp.blogspot.com/-cm7VznTzRbk/VCAGScYZIlI/AAAAAAAABJo/y7eBU-R-nz0/s1600/Idris.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WU1fzc2ZKU0/VCAGWOsqR2I/AAAAAAAABJw/ghLq5nVfsCc/s1600/laveda.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yaq1IkHnq1I/VCAGyB8eUbI/AAAAAAAABJ4/_BPKhVRDt48/s1600/BIG-BROTHER-AFRICA.jpg)
M-Net na wameendelea na utaratibu wa kutangaza washiriki wa shindano hilo kutoka nchi mbalimbali Africa, na katika majina matatu yaliyotajwa yamemjumuisha Mtanzania wa pili atakayewakilisha katika shindano hilo, mrembo Irene Laveda.
Irene ataungana na Idrisa kuiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo yatakayochukua siku 63 badala ya siku takribani 90 zilizozoeleka.
Ingia kutazama picha zao...
![](http://1.bp.blogspot.com/-cm7VznTzRbk/VCAGScYZIlI/AAAAAAAABJo/y7eBU-R-nz0/s1600/Idris.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WU1fzc2ZKU0/VCAGWOsqR2I/AAAAAAAABJw/ghLq5nVfsCc/s1600/laveda.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Nov
MPIGIE KURA IDRIS KUBAKI KWENYE JUMBA LA BIG BROTHER AFRICA
BOFYA HAPO JUU VOTE AU PIGA KURA KISHA CHAGUA JINA LA IDRIS PIGA KURA YAKO HAPO MOJA KWA MOJA. PIA UNAWEZA KUMPIGIA KURA KWA UJUMBE MFUPI WA MAANDISHI YAANI SMS ANDIKA NENO VOTE IDRIS TUMA KWENDA NAMBA 15426 MPIGIE KURA MARA NYINGI UWEZAVYO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania