Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania yang’ara uzinduzi wa Big Brother HOTSHOTS!

DSC_0165

Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye hafla ya uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS msimu wa tisa iliyoandaliwa maalum kwa wadau wa DStv na waandishi wa habari usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena.

Bi. Kambogi alitoa rai kwa Watanzania kuwa wazalendo kwa kuwapigia kura nyingi washiriki wetu wawili wanaoiwakilisha nchi kwenye shindano hilo na kutoa angalizo kwa wazazi na walezi kuhusiana na shindano...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Waliong’ara kwenye Red carpet uzinduzi wa Big Brother HOTSHOTS @ Dar es Salaam Serena Hotel

DSC_0005

Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Bw. Florenso Kirambata, Meneja Masoko wa MultiChoice Tanzania, Furaha Samalu, Levina Bandihai wa Multichoice Tanzania pamoja na mmoja wa wadau wa DStv waking’ara kwenye red carpet wakati wa sherehe za uzinduzi wa shindano la Big Brother HOTSHOTS zilizoandaliwa na Mutlichoice Tanzania kwa ajili ya wadau wa DStv na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena ziliofanyika usiku wa kuamkia leo.

DSC_0091

Meneja Uhusiano...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yang'ara katika siku ya kwanza ya big brother afrika

 Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother Africa Hotshots usiku wa leo baada ya kushinda kwa kura nyingi sana shindano la vipaji ambapo kila mshiriki alipewa nafasi ya dakika tatu kuonesha kipaji chake. Laveda aliingia na Saxophone na kufurahisha kadamnasi kwa umahiri wake na hatimaye akapewa cheo cha kiongozi wa nyumba wa kwanza katika onesho hili kwa mwaka huu.Laveda akipuliza saxophone kwa umahiri mkubwa uliompa kura kibao usiku huu....

 

10 years ago

GPL

TANZANIA YANG'ARA KATIKA SIKU YA KWANZA YA BIG BROTHER AFRIKA

Mwanadada Laveda kutoka Tanzania akilakiwa kwa shangwe alipoingia ndani ya jumba la Big Brother Africa Hotshots usiku wa leo baada ya kushinda kwa kura nyingi sana shindano la vipaji ambapo kila mshiriki alipewa nafasi ya dakika tatu kuonesha kipaji chake. Laveda aliingia na Saxophone na kufurahisha kadamnasi kwa umahiri wake na hatimaye akapewa cheo cha kiongozi wa nyumba wa kwanza katika onesho hili kwa mwaka huu. Laveda...

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WALIVYOFUNIKA UZINDUZI WA BIG BROTHER HOTSHOTS

Watanzania Laveda, Idris na Diamond wakipiga shoo katika uzinduzi wa Shindano la Big Brother Hotshots nchini Afrika Kusini Oktoba 5, 2014. Laveda na Idris ni washiriki wa shindano hilo wakati Diamond Platnumz alikwenda kwa ajili ya kutumbuiza.

 

10 years ago

GPL

UZINDUZI WA BIG BROTHER HOTSHOTS ULIVYOKUWA KWA MZEE MADIBA

Msanii wa Tanzania, Diamond (katikati) akiwa na madansa wake wakionyesha manjonjo yao wakati akifanya shoo kwenye uzinduzi wa Big Brother HotShots jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini, Jumapili iliyopita. Diamond aliteka umati uliojitokeza kwenye uzinduzi wa Big Brother HotShots kwa kutoa shoo nzuri ambapo aliimba wimbo wa My Number One.… ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mjue Irene La Veda, mshiriki wa Big Brother HOTSHOTS kutoka Tanzania

 

LAVEDA

Irene Neema Vedastous ‘La Veda’, Mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Tanzania.

IRENE NEEMA VEDASTOUS ni msichana mrembo wa Kitanzania, mwenye umri wa miaka 23 anayeiwakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini.

La Veda katika pozi na baadhi ya mastaa.

Mrembo huyu ambaye ameshawahi kuingia 10 bora ya shindano la Miss Tanzania mwaka 2012, baada ya kutwaa taji la Miss Lindi 2012, anaingia rasmi leo tarehe 5 Oktoba 2014 kwenye shindano hilo lenye...

 

10 years ago

Dewji Blog

Idris Sultan aitoa kimasomaso Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots

10329972_10204046474311089_1055068807819044995_o

Mshiriki wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa Hotshots Idris Sultan ameibuka kidedea kwa kutwaa taji msimu wa 9 wa shindano BBA Hotshots na kujinyakulia kitita cha dola za kimarekani 300,000.

Shindano hilo lilidumu kwa muda miezi 2 sawa na siku 60 na kumalizika usiku leo nchini Afrika Kusini, ambalo lilishirikisha washiriki 26 kutoka nchi mbalimbali za bara la Afrika na kisha baadhi yao kutolewa kwa kukosa kura na matukio mbalimbali yaliyokuwa yakiendelea ndani ya jumba hilo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani