Tanzania yang’ara katika utawala bora
MPANGO wa Afrika wa kujitathmini kiutawala bora (APRM) umebainisha kuwa Tanzania ni moja ya nchi zinazofanya vizuri katika utawala bora.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uYtPYEoTz6k/VDHLn6wMiLI/AAAAAAAGoMI/37lY6bTDcTg/s72-c/Laveda_med.jpg)
Tanzania yang'ara katika siku ya kwanza ya big brother afrika
![](http://1.bp.blogspot.com/-uYtPYEoTz6k/VDHLn6wMiLI/AAAAAAAGoMI/37lY6bTDcTg/s1600/Laveda_med.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cTOdDCTLuXQ/VDHLpaMpelI/AAAAAAAGoMQ/jX0MvvTBSxg/s1600/LavedaSAx_med.png)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVI-xguw0PfoRtFDuV2--nZiOfelCpiLJ9kcE9ZFmz3FaYVls7NcNTecGHFhW733549BNhKGzN7nv3OuNXC818jO/1.jpg?width=650)
TANZANIA YANG'ARA KATIKA SIKU YA KWANZA YA BIG BROTHER AFRIKA
10 years ago
Habarileo18 Aug
Dar yang’ara katika BRN
BAADA ya kuongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana, Mkoa wa Dar es Salaam umeendelea kufanya vizuri katika utekelezaji wa mpango wa matokeo makubwa sasa (BRN), kwa shule zake kusimamia na kutoa mitihani ya utamilifu (mock) kwa manispaa zote tatu.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s72-c/1.jpg)
NSSF YANG’ARA KATIKA MAONESHO YA 38 YA KIMATAIFA YA BIASHARA ‘SABASABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tEJoC3S2nPw/U7J-D5-n5SI/AAAAAAABBgA/oanR2ayhuSQ/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DO4OSSt4y7o/U7J-GZCVUbI/AAAAAAABBgo/Ylq5s7sJo20/s1600/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqnIO6flexk/U7J-Gjl5SyI/AAAAAAABBgs/3abbaRnW458/s1600/3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s72-c/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
AIRTEL YANG’ARA KATIKA MAONYESHO YA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2Ybi2KayuGQ/Ve_cdk7OIHI/AAAAAAAH3eY/TVFhAu5GYdc/s640/Pic%2B1%2Bmwanza.jpg)
Kushoto) akimkabithi kikombe Afisa masoko na biashara wa Airtel ,
Emmanuel Raphael mara baada ya kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel
kuibuka mshindi wa pili katika maonyesho ya Biashara ya Afrika
Mashariki ya mwaka huu. Katika maonyesho hayo Airtel ilipata makombe
manne katika vipengele mbalimbali ikiwemo, Mtoa huduma bora , Mtoa
huduma bora katika sekta ya mawasiliano, ubora katika mawasiliano ya
habari na tecknologia pamoja na...
11 years ago
Habarileo03 Mar
Tanzania yang’ara mapinduzi ya kijani
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi za Afrika, zinazosonga mbele vyema katika utekelezaji wa mapinduzi ya kijani kwa kuwezesha wananchi wake kuwa na chakula cha kutosha. Taasisi ya Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (AGRA) imetoa maelezo hayo, wakati wataalamu wake walipokuwa na kikao cha mwaka mjini Unguja na kufafanua kuwa wameridhishwa na jinsi Tanzania inavyoendelea kukabiliana na tatizo la mbegu na uzalishaji wake.