CCM yang’ara kila kona, Chadema yafuatia
MATOKEO ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika kote nchini juzi, yameanza kutangazwa huku Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiongoza katika maeneo mengi na kufuatiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
CCM yang’ara Chalinze
MGOMBEA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete, anaelekea kupata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa ubunge wa Chalinze, uliofanyika jana. Uchaguzi huo ulifanyika baada ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa...
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Lowassa: Natazamwa na CCM kila kona
10 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM watuhumiana kwa unafiki kila kona
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Juliana Shonza wa CCM apongezwa kila kona kuchaguliwa Mbunge wa Viti Maalum
Pichani ni picha na ujumbe wa Shy-Rose Bhanji aliotuma katika kurasa wake wa facebook.: “Hongera sana Juliana Shonza Mbunge Mteule kupitia mkoa mpya wa Songwe #VitiMaalum Wanawake wa Songwe wameonyesha imani kubwa kwako kwasababu wewe ni Mpiganaji. Ninakutakia Kila Heri ktk majukumu yako mapya.”
Juliana Shonza katika ubora wake..
Mwingine ni Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Anne Deo ambapo aliandika ujumbe huu:
“Navipongeza vyama vyote vya siasa vilivyobahatika...
10 years ago
Dewji Blog06 Aug
Dkt.Magufuli achukua fomu za urais kwa kishindo, barabara ya Lumumba yafungwa, wafuasi wa CCM kila kona

MGOMBEA kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi, CCM, John Pombe Magufuli, jana Jumanne Agosti 4, 2015, amechukua fomu za uteuzi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi, NEC, tayari kwa mchakato wa kutafuta wadhamini 200 ambao ni raia wa Tanzania wenye shahada za kupigia kura. Magufuli ambaye alifuatana nna mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan, Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana, na viongozi na wafuasi wa CCM, alkiambiwa na maafisa wa tume hiyo...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Tanzania yang’ara kuogelea
11 years ago
Habarileo16 Jan
Tanzania yang’ara mpango wa UN
TANZANIA imetajwa kufanya vizuri zaidi kuliko nchi nane, zilizokuwa zikishiriki katika Mpango wa Majaribio wa Kuwezesha mfumo wa Umoja wa Mataifa(UN) kufanya kazi kwa pamoja. Mpango huo sasa umepanuliwa kushirikisha nchi nyingi zaidi baada ya kuonesha faida kubwa.
11 years ago
Michuzi
Ikulu yang’ara SHIMIWI Morogoro


