Juliana Shonza wa CCM apongezwa kila kona kuchaguliwa Mbunge wa Viti Maalum
Pichani ni picha na ujumbe wa Shy-Rose Bhanji aliotuma katika kurasa wake wa facebook.: “Hongera sana Juliana Shonza Mbunge Mteule kupitia mkoa mpya wa Songwe #VitiMaalum Wanawake wa Songwe wameonyesha imani kubwa kwako kwasababu wewe ni Mpiganaji. Ninakutakia Kila Heri ktk majukumu yako mapya.”
Juliana Shonza katika ubora wake..
Mwingine ni Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Anne Deo ambapo aliandika ujumbe huu:
“Navipongeza vyama vyote vya siasa vilivyobahatika...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Mboni Mhita afunguka, apongezwa kila kona
Mboni Mhita.
Na Andrew Chale wa modewji blog
Mteule wa Rais kwa nafasi ya ukuu wa Wilaya, iliyotangazwa juzi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mwanadada mtetezi wa wanyonge, vijana na watu mbalimbaali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mboni Mhita ametoa kauli kwa mara ya kwanza huku akimshukuru Mungu kwa hatua aliyofikia.
Siku moja kabla, Mtandao huu ulikuwa ukutane na Mboni Mhita juu ya kufanya naye mahojiano maalum hata hivyo,...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s72-c/mbg.jpg)
Aliyekuwa Mbunge wa viti maalum CCM Lindi ajiunga na CUF
![](http://1.bp.blogspot.com/-DD2Yx7HdqR0/VdTPWu5EfuI/AAAAAAAB5gI/Qk3W9dXSpvk/s640/mbg.jpg)
Na Khamis Haji OMKR
Mbunge wa Viti Maalum wa Chama cha Mapinduzi kutoka mkoa wa Lindi, Riziki Said Rurida amekihama chama hicho na kuhamia Chama cha Wananchi CUF.
Rurida alitangaza kukihama chama hicho na kukabidhiwa kadi ya CUF na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad katika mkutano wa hadhara wa CUF...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-699jfDCUBBE/VbYIwy52kFI/AAAAAAAHr6g/0DkQmDh53ds/s72-c/_MG_0796.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Chadema,Leticia Nyerere arejea CCM.
![](http://1.bp.blogspot.com/-699jfDCUBBE/VbYIwy52kFI/AAAAAAAHr6g/0DkQmDh53ds/s640/_MG_0796.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yPcRx1z4dII/VbYIw8b6ntI/AAAAAAAHr6k/QCRxoExuk4E/s640/_MG_0801.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oAR0Z0YBe_E/VbYIw38GDBI/AAAAAAAHr6o/TqjO_jQ15bU/s640/_MG_0806.jpg)
9 years ago
Bongo Movies13 Aug
Irene Uwoya Apitishwa na CCM Kuwa Mbunge Viti Maalum Kupitia Tabora
Mwigizaji wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya apitishwa na Halmashauri Kuu ya CCM (NEC )kuwa mbunge viti maalum vijana mkoa wa Tabora.
Wengine waliopitishwa ni namba 1. Halima Bulembo 2. Zainab Katimba 3. Mariam Ditopile 4. Mary Kangoye 5. Kizigo 6. Irene Uwoya.
Hongera sana Uwoya.
Cloudsfm.com
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s72-c/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
BREAKING NYUZZZZZZ......: Mbunge wa Viti Maalum (CCM) mkoani Dodoma afariki dunia
![](http://1.bp.blogspot.com/--I-WgyfTC4M/Va5jYKYvsvI/AAAAAAAHq44/gDdQFM9pZ6E/s640/AjIAv7YkabUHMTga0gOJVX6s1z2Uv7PusctR1jFGWcSa.jpg)
Mungu aiweke Roho yake mahala pema Peponi
-Amin.
10 years ago
VijimamboALIYEKUWA MBUNGE WA VITI MAALUM KUPITIA CCM. ESTER BULAYA,AMEPOKELEWA NA MAELFU YA WAKAZI WA BUNDA
Aliyekuwa mbunge wa viti maalum kupitia vijana (ccm) Ester Bulaya, amepokewa na maelfu ya wakazi wa Bunda baada ya kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha demokrasia na mendeleo CADEMA na kudai tayari amechukua na kurudisha fomu kwa ajili ya kuwania Ubunge wa jimbo la Bunda mjini kupitia chama hicho na kuahidi kushirikiana na wananchi kuleta mabadiliko ya kiuchumi kwa wananchi bila kujali itikadi ya vyama na kusisitiza hataweza kuwaangusha wanabunda na watanzania wote.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s72-c/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
BENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s640/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CKhNmnl7XZg/XnzAvRB0cxI/AAAAAAALlLA/FjP43vwrzqIGdg_Hi4ZFverU0LT27DvswCLcBGAsYHQ/s640/68e6f189-975b-4668-939d-2a9e70933b7d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DoY0D6OK0J0/XnzAvPurn5I/AAAAAAALlK8/dItvTUx8ev4yxEsdYbHRusxZkf6p7nxcgCLcBGAsYHQ/s640/22756c47-29a9-4b27-9784-a512f764c20a.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Nov
JULIANA SHONZA : Nilihama Chadema baada ya kugundua Natumika vibaya
10 years ago
MichuziMbunge wa Viti Maalum (CCM), Mhe. Al-Shaymaa Kwegyir, aizungumza na wanazuoni wa Chuo Kikuu cha Kumbukumbu cha Hubert Kairuki katika Kongamano la mauaji ya albino
hawapo pichani, katika kongamano la kujadili nini kifanyike kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) lililofanyika jana chuoni hapo. Kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho Keto Mshigeni na Kulia ni Kokushubika Kairuki.
Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamMBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa na baadhi ya Watanzania juu ya jamii yenye ulemavu wa ngozi na kusema kwamba inawafanya watu hao waishi...