Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mboni Mhita afunguka, apongezwa kila kona

10678862_10204010849324662_7080527275303329392_n

Mboni Mhita.

Na Andrew Chale wa  modewji blog

Mteule wa Rais kwa nafasi ya ukuu wa Wilaya, iliyotangazwa juzi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,  mwanadada mtetezi wa wanyonge, vijana na watu mbalimbaali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mboni Mhita ametoa kauli kwa mara ya  kwanza huku akimshukuru Mungu  kwa hatua aliyofikia.

Siku moja kabla, Mtandao huu ulikuwa ukutane na Mboni Mhita juu ya kufanya naye mahojiano maalum hata hivyo,...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Juliana Shonza wa CCM apongezwa kila kona kuchaguliwa Mbunge wa Viti Maalum

12189068_912799682137594_380257420280610232_n

Pichani ni picha na ujumbe wa Shy-Rose Bhanji aliotuma katika kurasa wake wa facebook.: “Hongera sana Juliana Shonza Mbunge Mteule kupitia mkoa mpya wa Songwe ‪#‎VitiMaalum‬ Wanawake wa Songwe wameonyesha imani kubwa kwako kwasababu wewe ni Mpiganaji. Ninakutakia Kila Heri ktk majukumu yako mapya.”

184282_128661920641409_868125194_n

Juliana Shonza katika ubora wake..

Mwingine ni  Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),  Anne Deo ambapo aliandika ujumbe huu:

“Navipongeza vyama vyote vya siasa vilivyobahatika...

 

11 years ago

GPL

MBONI MHITA ATINGA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LTD

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mboni Mhita akfafanua jambo kwa wanahabari wa Global (hawapo pichani). Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul 'Kigogo' akimuuliza swali Mboni Mhita.…

 

11 years ago

GPL

MBONI MHITA: SUGU ALIKUJA CCM, AKATAKA UBUNGE TUKAKATAA!

KATIKA kujitanua na kuwafikia wananchi wengi kwa wakati mmoja, vyama mbalimbali vya siasa nchini, vimekuwa na mgawanyo wa jumuiya zenye lengo la kugawa makundi mbalimbali kwenye jamii. Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa, Mboni Mhita akijiandaaa kujibu hoja za waandishi wa habari katika ofisi za Global Publishers, sinza Bamaga. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina jumuiya tatu ambazo ni; Jumuiya ya Wazazi, Jumuiya ya Wanawake...

 

10 years ago

Michuzi

makamu mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita atembelea ubalozi wetu marekani

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe.Liberata Mulamula akiwa katika picha pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Umaaja wa Vijana wa CCM  Mhe.Mboni Mhita (kulia)  na Bi. Loveness Mamuya  kabla (juu) na baada (chini) ya Mhe.Mulamula kufanya mazungumzo na Mhe.Mboni ubalozini Washington DC

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM KESHO JUMAMOSI DMV


Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na  Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria
Mh Paul Makonda Katibu Hamasa na...

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA ATINGA WASHINGTON, DC, KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM JUMAMOSI DMV

Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na  Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria

 

10 years ago

Dewji Blog

Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono

Lowassa_Babati2

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).

Lowassa_Babati1

Lowassa_hotuba Manyara

Lowassa_Daniel Opurukwa

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...

 

10 years ago

Vijimambo

Mhe.Balozi Liberata Mulamula akutana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa Mhe.Mboni Mohamed Mhita Ubalozini Tanzania House Wsshington DC

Mhe.Liberata Mulamula akiwa katika picha pamoja na Mhe.Mboni Mhita (juu) na chini Mhe.Balozi Libearata Mulamula (katikati) katika picha ya kumbukumbu na Mhe.Mboni Mhita Kulia na Bibi Loveness Mamuya kushoto baada ya Mhe.Mulamula kufanya mazungumzo na Mhe.Mboni.

 

11 years ago

GPL

CHAMPIONI KILA KONA

Mbunge wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro Abdulsalama Amer (Sas gas) akimsikiliza mmoja wa waasisi wa Chama cha Tanu na aliyewahi kuwa katibu wa Tawi la Tundu Kidodi wa chama hicho, Bi. Faina Ngwira (80) alipokuwa akisoma Gazeti la Championi, mbunge huyo alikuwa kwenye ziara ya kukagua mradi wa maji safi kwenye kata hiyo unaofadhiliwa na Benki ya Dunia, hivi karibuni. (Picha: Fadhil Chitembedja) ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani