Mboni Mhita afunguka, apongezwa kila kona
Mboni Mhita.
Na Andrew Chale wa modewji blog
Mteule wa Rais kwa nafasi ya ukuu wa Wilaya, iliyotangazwa juzi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mwanadada mtetezi wa wanyonge, vijana na watu mbalimbaali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mboni Mhita ametoa kauli kwa mara ya kwanza huku akimshukuru Mungu kwa hatua aliyofikia.
Siku moja kabla, Mtandao huu ulikuwa ukutane na Mboni Mhita juu ya kufanya naye mahojiano maalum hata hivyo,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Juliana Shonza wa CCM apongezwa kila kona kuchaguliwa Mbunge wa Viti Maalum
Pichani ni picha na ujumbe wa Shy-Rose Bhanji aliotuma katika kurasa wake wa facebook.: “Hongera sana Juliana Shonza Mbunge Mteule kupitia mkoa mpya wa Songwe #VitiMaalum Wanawake wa Songwe wameonyesha imani kubwa kwako kwasababu wewe ni Mpiganaji. Ninakutakia Kila Heri ktk majukumu yako mapya.”
Juliana Shonza katika ubora wake..
Mwingine ni Kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Anne Deo ambapo aliandika ujumbe huu:
“Navipongeza vyama vyote vya siasa vilivyobahatika...
11 years ago
GPLMBONI MHITA ATINGA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LTD
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c*KzWqU-pKbicRV1urYjkS7J6LDLXNnoIjdSlVNt8nmPL-BorukuvaBlrRI2jDq1H*qW2WvMTEYsR88dvBEErz/mboni7.jpg?width=650)
MBONI MHITA: SUGU ALIKUJA CCM, AKATAKA UBUNGE TUKAKATAA!
10 years ago
Michuzi13 Nov
makamu mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita atembelea ubalozi wetu marekani
![](https://2.bp.blogspot.com/--TFWvFBFA_8/VGUOggf6KQI/AAAAAAAGxDA/4LfXF1i-AX0/s640/unnamed%2B(41).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ssNNX_rSGnM/VGUOgxunzGI/AAAAAAAGxDE/MzmQyqsm2kE/s640/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM KESHO JUMAMOSI DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria
![](http://www.dailynews.co.tz/images/MAKONDAUVCCM.jpg)
Mh Paul Makonda Katibu Hamasa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA ATINGA WASHINGTON, DC, KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM JUMAMOSI DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dfzxeXBuDI0/VGDIt7ItzFI/AAAAAAADMs8/0ojbv0qVsbk/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Mhe.Balozi Liberata Mulamula akutana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa Mhe.Mboni Mohamed Mhita Ubalozini Tanzania House Wsshington DC
![](https://4.bp.blogspot.com/-HJqXJ5mSVAM/VGPiwRMH-FI/AAAAAAADM-U/CcZjns8rL7A/s640/unnamed%2B(38).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-BArpRusU5-4/VGPiwCNWBLI/AAAAAAADM-Q/RLOtbZam0fw/s640/unnamed%2B(39).jpg)
11 years ago
GPLCHAMPIONI KILA KONA