MBONI MHITA: SUGU ALIKUJA CCM, AKATAKA UBUNGE TUKAKATAA!
![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c*KzWqU-pKbicRV1urYjkS7J6LDLXNnoIjdSlVNt8nmPL-BorukuvaBlrRI2jDq1H*qW2WvMTEYsR88dvBEErz/mboni7.jpg?width=650)
KATIKA kujitanua na kuwafikia wananchi wengi kwa wakati mmoja, vyama mbalimbali vya siasa nchini, vimekuwa na mgawanyo wa jumuiya zenye lengo la kugawa makundi mbalimbali kwenye jamii. Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa, Mboni Mhita akijiandaaa kujibu hoja za waandishi wa habari katika ofisi za Global Publishers, sinza Bamaga. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina jumuiya tatu ambazo ni; Jumuiya ya Wazazi, Jumuiya ya Wanawake...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM KESHO JUMAMOSI DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
Katibu mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi Tawi La Washington DC Virginia na Maryland Bi Salima Moshi akiwa na Makamu Mwenyekiti UVCCM Taifa Mjumbe wa NEC CCM Taifa Chairperson for young Leader in Africa Mh Mboni Mhita siku ya Jumapili Novemba 9, 2014 walipokutana jijini Washington, DC kwa mazungumuzo, Mh Mboni Mhita atakutana na Wanachama Wa Chama Cha Mapinduzi siku ya JumamosiNov 15 saa 11jioni address 1801 saint george way Bowie 20721 tunaomba wote kuhudhuria
![](http://www.dailynews.co.tz/images/MAKONDAUVCCM.jpg)
Mh Paul Makonda Katibu Hamasa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
MAKAMU MWENYEKITI UVCCM MBONI MHITA ATINGA WASHINGTON, DC, KUKUTANA NA WANACHAMA WA CCM JUMAMOSI DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-MUWwJTfpwmM/VGDIt5H4ThI/AAAAAAADMs4/UGSy9VOGJVc/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dfzxeXBuDI0/VGDIt7ItzFI/AAAAAAADMs8/0ojbv0qVsbk/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Nov
Mhe.Balozi Liberata Mulamula akutana na Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Taifa Mhe.Mboni Mohamed Mhita Ubalozini Tanzania House Wsshington DC
![](https://4.bp.blogspot.com/-HJqXJ5mSVAM/VGPiwRMH-FI/AAAAAAADM-U/CcZjns8rL7A/s640/unnamed%2B(38).jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-BArpRusU5-4/VGPiwCNWBLI/AAAAAAADM-Q/RLOtbZam0fw/s640/unnamed%2B(39).jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Feb
Mboni Mhita afunguka, apongezwa kila kona
Mboni Mhita.
Na Andrew Chale wa modewji blog
Mteule wa Rais kwa nafasi ya ukuu wa Wilaya, iliyotangazwa juzi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mwanadada mtetezi wa wanyonge, vijana na watu mbalimbaali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mboni Mhita ametoa kauli kwa mara ya kwanza huku akimshukuru Mungu kwa hatua aliyofikia.
Siku moja kabla, Mtandao huu ulikuwa ukutane na Mboni Mhita juu ya kufanya naye mahojiano maalum hata hivyo,...
11 years ago
GPLMBONI MHITA ATINGA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LTD
10 years ago
Michuzi13 Nov
makamu mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita atembelea ubalozi wetu marekani
![](https://2.bp.blogspot.com/--TFWvFBFA_8/VGUOggf6KQI/AAAAAAAGxDA/4LfXF1i-AX0/s640/unnamed%2B(41).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ssNNX_rSGnM/VGUOgxunzGI/AAAAAAAGxDE/MzmQyqsm2kE/s640/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Dewji Blog31 May
DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-IX900rs5XnY/VWnT1J_wx8I/AAAAAAAB9Y4/plxeS1RrqTc/s640/DSC_0263.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uANnM64RMMY/VWnSOHczWtI/AAAAAAAB9YI/KV9kPhAU4dc/s640/DSC_0242.jpg)
9 years ago
VijimamboMSAFARA WA SUGU WASHAMBULIWA KWA MAWE AKIELEKEA KATIKA KAMPENI ZAKE ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA
Na Emanuel Kahema ,Mbeya
MGOMBEA ubunge kupitia chadema jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi leo amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na wafuasi wanaosadikiwa kuwa ni wa chama...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Sugu ajibu mapigo ya CCM
BAADA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), kumshambulia Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (CHADEMA), ukimuita mpangaji katika jimbo hilo, amewajibu akisema kuwa wanaota ndoto za mchana....