MSAFARA WA SUGU WASHAMBULIWA KWA MAWE AKIELEKEA KATIKA KAMPENI ZAKE ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA
Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu likiwa kituo cha Polisi kati jijini Mbeya mara baada ya kushambuliwa kwa mawe na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM
Sugu akiwa kituo cha Polisi na wafuasi wake.Picha Kenneth Ngelesi Mbeya .
(JAMIIMOJABLOG MBEYA )
Na Emanuel Kahema ,Mbeya
MGOMBEA ubunge kupitia chadema jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi leo amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na wafuasi wanaosadikiwa kuwa ni wa chama...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ZOR2tfT6sHA/Vgy053vn4UI/AAAAAAAAVQI/XPRO1kpPjTM/s72-c/P1680063%2B%25281280x960%2529.jpg)
INNOCENT SHIRIMA AFANYA UZINDUZI WA KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE KATIKA JIMBO LA VUNJO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZOR2tfT6sHA/Vgy053vn4UI/AAAAAAAAVQI/XPRO1kpPjTM/s640/P1680063%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wxq45vi0EnU/Vgy05LkC14I/AAAAAAAAVQE/Nynv1A017RQ/s640/P1680072%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EytwlX3x3dM/Vgy0puVRqGI/AAAAAAAAVPk/c-YouAAUyxs/s640/P1680028%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--qJ7jJ3PpF8/Vgy0tsh7joI/AAAAAAAAVPw/OvkJKTXaCQc/s640/P1680040%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mh2aO7irqWM/Vgy0tJQJeRI/AAAAAAAAVPs/BP72h-2XDYw/s640/P1680049%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh19j7NkICI/Vgy0ylL7iaI/AAAAAAAAVP8/ZR51OU7FJpg/s640/P1680053%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-giyuwko4xfo/Vgy08wT0UKI/AAAAAAAAVQU/ATeh0bUQnuY/s640/P1680076%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iCZFZx4B3nU/Vgy1B5q5YSI/AAAAAAAAVQc/7OjXAZgaV_I/s640/P1680088%2B%25281280x960%2529.jpg)
9 years ago
Mtanzania18 Sep
Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
11 years ago
Michuzi23 Feb
CHADEMA WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/G7xbiEkgezPx6pgAsGhFATtWjUlpHntqCo7v0HvMowjpN5GyZxSV1WXWlqkjIYUmx-7vvbPcpmjAwnoXiuclDnwmTm2GwunD4-2Tngy7pLDDjrIRp5_dvyhuMhwgFJqAVUASs7UNSuoXTKvl401l6WNRtdsbd82F3nhzosG_7kqyZ_S6yg1NtjgbddlEyyDzBKTP9dFhkiElZ-Zw9PDov8D52UT7auGFvxat_NwZoltD3uGxmvHUKbAJmkmBvpLThYKxVj6j2y2_2nS_ZEnhUg=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.mjengwablog.com%2Fimages%2Fkumnadii_f8eb3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![makumbusho_a0aac.jpg](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/8cun0biI9zPKy_3UlDuWaEuG7bPQA45XdTfdG4qjwmaPLoAUHFhfv5LE6JGHD_fGNt8tqjkJJRACA8n1_idrh4TAjg6NfWxvPXvEJQ=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/makumbusho_a0aac.jpg)
![mvua_6aa63.jpg](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Xiwgp_BncZTSH3c4qCRnfWmxJjZiYHaXnqOF5DvOzfveQ2qa_NQKp15_tlOTH8ruBU5ul9_f0WeRj4hpLe3Y8TG0qUugSQ=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/mvua_6aa63.jpg)
![kumnadii_f8eb3.jpg](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/hAEBiMlUb_44sPj6cf9ViOEcQubXhu-t3MliYjW3scEJcs1iqIfNP0h6AcTdeixPgk-DDgN5934RU8JiUkidCuc8txeu9epg8uo=s0-d-e1-ft#http://www.mjengwablog.com/images/kumnadii_f8eb3.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-o1o8ItzeL9E/Ve5vtLknJMI/AAAAAAAB8V4/SMzDO3qvVLM/s72-c/20150907_172719.jpg)
Profesa Mbarawa Azindua Kampeni ya Kuwania Ubunge Jimbo la Mkoani Pemba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-o1o8ItzeL9E/Ve5vtLknJMI/AAAAAAAB8V4/SMzDO3qvVLM/s640/20150907_172719.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z1GJzzDuQqk/Ve6YNIKIGWI/AAAAAAAB8Wk/Zw6frFKgODQ/s640/pba%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pc51qeKSPJc/Ve6YPpCw3FI/AAAAAAAB8Ws/7HrPh4UplVc/s640/pba%2B2.jpg)
11 years ago
GPLMSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA KALENGA AZUIWA NA POLISI MKOANI IRINGA
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Chama cha ACT WAZALENDO chazindua kampeni zake za Ubunge jimbo la Manyoni
baadhi ya wagombea ubunge wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhuria mkutano wa uzinduzi katika jimbo la Manyoni-Singida.
Na, Jumbe Ismailly, Manyoni
CHAMA Cha ACT Wazalendo wilaya ya Manyoni Mkoani Singida kimezindua kampeni za ubunge wa jimbo la Manyoni mashariki kwa kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo,Muttee John Henry na kuwatisha watendaji wa idara ya afya wanaouza madawa kwenye vituo vya kutolea huduma na hivyo kusababisha wananchi kukosa huduma katika vituo vya kutolea huduma...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KINONDONI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, KARAMA MASUDI "KALAPINA" AZINDUA KAMPENI ZAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGx*Zr11BrItu5WhsSymm3FVUxUpePPnA*2ZaI43xfi47*oy5-xe*Z9RaCXsSlb7hOETKsDwneJA*drfVjT37ZR/MgombeakupokelewaLumuli.jpg?width=650)
CHADEMA KATIKA KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X8BfdyW4gIM/UzcQ22GmcxI/AAAAAAAFXWA/MD8lv8Qptho/s72-c/40.jpg)
CCM YAENDELEA NA MBIO ZAKE KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-X8BfdyW4gIM/UzcQ22GmcxI/AAAAAAAFXWA/MD8lv8Qptho/s1600/40.jpg)
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Hondogo,Kata ya Mandera wakati wa muendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo,leo Machi 29,2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-gEIx4ac8W9M/UzcSkgK5OtI/AAAAAAAFXXQ/Q6YHvn6b-zQ/s1600/49.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe,Suleiman Jaffo akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mandera Kibaoni wakati akimuombea Kura Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete kwenye...