Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya

NA PENDO FUNDISHA, MBEYA

MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MSAFARA WA SUGU WASHAMBULIWA KWA MAWE AKIELEKEA KATIKA KAMPENI ZAKE ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA MBEYA

Gari la Mgombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi Sugu likiwa kituo cha Polisi kati jijini Mbeya mara baada ya kushambuliwa kwa mawe na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa CCM Sugu akiwa kituo cha Polisi na wafuasi wake.Picha Kenneth Ngelesi Mbeya . (JAMIIMOJABLOG MBEYA )
Na Emanuel Kahema ,Mbeya
MGOMBEA ubunge kupitia chadema jimbo la Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi leo amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na wafuasi wanaosadikiwa kuwa ni wa chama...

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu: Nimetekeleza ahadi zangu Mbeya Mjini kwa asilimia 90

Joto la Uchaguzi Mkuu limeanza kupanda. Wanasiasa waliopo madarakani wanazidi kujiimarisha kuendelea kuongoza huku walioo nje wakijaribu kutumia mbinu mbalimbali kutaka kuingia.

 

10 years ago

Vijimambo

MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya


Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sugu: Nimeituliza Mbeya

Mbeya. Jimbo la Uchaguzi Mbeya Mjini linafahamika kwa rekodi yake ya kipekee.

 

10 years ago

GPL

MAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI

Waandishi wetu
KUMEKUCHA! Nyota wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu ameibuka na kuwa msanii wa kwanza kutangaza nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa ‘leseni’ ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nyota wa sinema za Kibongo, Jimmy Mafufu. Akipiga stori na safu hii juzi jijini Dar, Mafufu alisema amefikia uamuzi huo baada ya kuombwa na wananchi wa jimbo hilo kwa vile mbunge wa sasa, Mheshimiwa Joseph Mbilinyi...

 

9 years ago

Mwananchi

Sugu: Meya ajaye atakuwa ‘moto’ Mbeya

Mbunge mteule wa Jimbo la Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’  amesema chama hicho kitahakikisha kinampata meya mpya mwenye uwezo wa kusimamia miradi ya maendeleo inayopangwa kila mwaka.

 

9 years ago

TheCitizen

Shitambala -Sugu race talking point in Mbeya

A total of five parties have fielded candidates for Mbeya Urban Parliamentary seat but centre of attention is on two parties. The retuning officer Mr Musa Zungiza, names the candidates and their parties as  Sambwee Shitambala (CCM), Joseph Mbilinyi aka Sugu or Mr II (Chadema),  Mary Komba (Chausta), Tumaini Mwanyalu (Chama cha Demokrasia Makini) and Lusekelo Asheli  (ACT- Wazalendo).

 

11 years ago

Mwananchi

Sugu awalaumu polisi kurusha mabomu Mbeya

Mwandishi Wetu, Mwananchi

 

11 years ago

Mtanzania

Mjumbe ashambuliwa kwa kipigo

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akimjulia hali mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma akidaiwa kupigwa na vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Picha na Mpiga Picha wetu.

Na Esther Mbussi, Dodoma

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgori, amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Dodoma, baada ya kushambuliwa na watu wasiojulikana.

Tukio hilo lilitokea juzi saa mbili usiku, eneo la Area A, ambako watu hao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani