Sugu: Nimetekeleza ahadi zangu Mbeya Mjini kwa asilimia 90
Joto la Uchaguzi Mkuu limeanza kupanda. Wanasiasa waliopo madarakani wanazidi kujiimarisha kuendelea kuongoza huku walioo nje wakijaribu kutumia mbinu mbalimbali kutaka kuingia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo25 Dec
Khatib: Nimetekeleza Ilani kwa asilimia 90
MBUNGE wa Jimbo la Uzini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Mohamed Seif Khatib amesema amefanikiwa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya chama chake katika miradi ya kuleta maendeleo katika kipindi cha miaka 19 ya uongozi wake kwa asilimia 90.
10 years ago
GPL
MAFUFU AMVAA SUGU MBEYA MJINI
11 years ago
Mwananchi01 Sep
Rais Kikwete: Nimetimiza ahadi kwa asilimia 80
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Tibaijuka: Nimejipanga kutimiza ahadi zangu
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema mikakati aliyojiwekea kwa sasa ni kutimiza ahadi alizowapa wapigakura na kutekeleza Ilani ya Uchanguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Aliyasema hayo kwenye ziara ya Rais Jakaya Kikwete mikoa ya kusini mwa Tanzania, ambako walipokewa kwa shangwe na kundi la wananchi kutokana na kufanikiwa kutatua kero nyingi za ardhi zilizokuwa katika maeneo yao.
Utatuzi huo ulihusisha pia kumnyang’anya ardhi mwekezaji...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Mtanzania18 Sep
Sugu ashambuliwa kwa mawe Mbeya
NA PENDO FUNDISHA, MBEYA
MGOMBEA ubunge Jimbo la Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amejikuta katika wakati mgumu baada ya msafara wake kushambuliwa na mawe na watu wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika vurugu hizo, watu wawili wamejeruhiwa akiwamo dereva aliyekuwa akimwendesha mgombea huyo aliyejulikana kwa jina moja la Gabi, maarufu kwa jina la DJ BBG, ambao wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
10 years ago
Vijimambo
MBEYA KULINDIMA: Mh. Joseph Mbilinyi "Sugu" kupata "Home coming" ya kifalme Mbeya
Mh. Joseph Mbilinyi ameandaliwa mapokezi ya kifalme jijini Mbeya pindi atakapo kuwa anarudi kutoka Bungeni. Baada ya kuwatumikia wakazi wa Mbeya na Tanzania kwa miaka mitano, Mh. Sugu na wanaMbeya wanasema "DAIMA MBELE, MBEYA TUNASONGA.
Mapokezi haya ya kihistoria kuwahi kutokea Tanzania yatakuwa July 12, 2015 saa Saba mchana. Msafara wa mapokezi utaanzia Itewe hadi kuishia viwanja vya Ruanda Nzovwe. Mh. Mbilinyi anatarajiwa kuongozana na viongozi mbalimbali wa kiaifa.
Kwenye mkutano wa...
11 years ago
Mwananchi20 Oct
Sugu: Samuel Sitta alisaliti ahadi yake