Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tibaijuka: Nimejipanga kutimiza ahadi zangu


NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa  Anna Tibaijuka, amesema mikakati aliyojiwekea kwa sasa ni kutimiza ahadi alizowapa wapigakura na kutekeleza Ilani ya Uchanguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Aliyasema hayo kwenye ziara ya Rais Jakaya Kikwete mikoa ya kusini mwa Tanzania, ambako walipokewa kwa shangwe na kundi la wananchi kutokana na kufanikiwa kutatua kero nyingi za ardhi zilizokuwa katika maeneo yao.
Utatuzi huo ulihusisha pia kumnyang’anya ardhi mwekezaji...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

JK aombwa kutimiza ahadi

WANANCHI wa Jimbo la Ulanga Magharibi mkoani Morogoro, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kutimiza ahadi yake ya uchaguzi za mwaka 2010, ya kuwapatia wilaya mpya kwa mipaka ya kimajimbo. Walisema kuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu: Nimetekeleza ahadi zangu Mbeya Mjini kwa asilimia 90

Joto la Uchaguzi Mkuu limeanza kupanda. Wanasiasa waliopo madarakani wanazidi kujiimarisha kuendelea kuongoza huku walioo nje wakijaribu kutumia mbinu mbalimbali kutaka kuingia.

 

9 years ago

Habarileo

Watakiwa kushikamana, kutimiza ahadi zao

MWANASIASA mkongwe wilayani Mpwapwa, Issack Chibwae amewataka viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu kushikamana na kuhakikisha ahadi walizotoa kwa wanachi zinatekelezwa kwa ukamilifu wake.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTIMIZA AHADI: Aveva agoma kujifunga Simba

>Rais mpya wa Simba, Evans Aveva amegoma kujiwekea muda rasmi wa kutimiza ahadi zake alizoahidi wakati wa kampeni zake.

 

10 years ago

Bongo Movies

Refund: Ujio Mpya, Johari Ameanza Kutimiza Ahadi Yake!

Mrembo na muigizaji wakike wa filamu mwenye kipaji cha hali ya juu, Blandina Chagula “Johari” ameanza kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwaka jana kuwa mwaka huu ni mwaka wa kazi tu.

Ameanza na hii, ingawa hakuweka wazi ni lini hasa itaingia sokoni, filamu yake hii mpya inayokwenda kwa jina la Refund ambayo pamoja nae,wakali kama Juma Chikoka ‘Chopamchopanga’ na Haji Adam na wengine wengi wameshiriki kwenye filamu hii.

Kwamaneno mafupi Johari alisema;

“Kama nilivyoahidi mashabiki wangu 2015...

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz kutimiza ahadi ya kuachia album mwezi December

Ni zaidi ya mwaka sasa toka Ommy Dimpoz atoe ahadi ya kuachia album yake ambayo mpaka sasa bado hajaitekeleza, hivyo bado ana deni kwa mashabiki wake. Mr PKP amesema kuwa sio kwamba hakumbuki alichoahidi, bali alikuwa na mpango wa kuitoa album hiyo mapema mwaka huu lakini ilishindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. Sasa ameahidi kutoa […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata

DSC_0534

Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)

Na Mwandishi wetu, Ngorongoro

Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze

01

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.

Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

Mmasai mwenye jamii ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani