KUTIMIZA AHADI: Aveva agoma kujifunga Simba
>Rais mpya wa Simba, Evans Aveva amegoma kujiwekea muda rasmi wa kutimiza ahadi zake alizoahidi wakati wa kampeni zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
JK aombwa kutimiza ahadi
WANANCHI wa Jimbo la Ulanga Magharibi mkoani Morogoro, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kutimiza ahadi yake ya uchaguzi za mwaka 2010, ya kuwapatia wilaya mpya kwa mipaka ya kimajimbo. Walisema kuwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Tibaijuka: Nimejipanga kutimiza ahadi zangu
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, amesema mikakati aliyojiwekea kwa sasa ni kutimiza ahadi alizowapa wapigakura na kutekeleza Ilani ya Uchanguzi ya CCM ya mwaka 2010.
Aliyasema hayo kwenye ziara ya Rais Jakaya Kikwete mikoa ya kusini mwa Tanzania, ambako walipokewa kwa shangwe na kundi la wananchi kutokana na kufanikiwa kutatua kero nyingi za ardhi zilizokuwa katika maeneo yao.
Utatuzi huo ulihusisha pia kumnyang’anya ardhi mwekezaji...
9 years ago
Habarileo07 Nov
Watakiwa kushikamana, kutimiza ahadi zao
MWANASIASA mkongwe wilayani Mpwapwa, Issack Chibwae amewataka viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu kushikamana na kuhakikisha ahadi walizotoa kwa wanachi zinatekelezwa kwa ukamilifu wake.
9 years ago
Bongo519 Oct
Ommy Dimpoz kutimiza ahadi ya kuachia album mwezi December
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Refund: Ujio Mpya, Johari Ameanza Kutimiza Ahadi Yake!
Mrembo na muigizaji wakike wa filamu mwenye kipaji cha hali ya juu, Blandina Chagula “Johari” ameanza kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwaka jana kuwa mwaka huu ni mwaka wa kazi tu.
Ameanza na hii, ingawa hakuweka wazi ni lini hasa itaingia sokoni, filamu yake hii mpya inayokwenda kwa jina la Refund ambayo pamoja nae,wakali kama Juma Chikoka ‘Chopamchopanga’ na Haji Adam na wengine wengi wameshiriki kwenye filamu hii.
Kwamaneno mafupi Johari alisema;
“Kama nilivyoahidi mashabiki wangu 2015...
10 years ago
Dewji Blog14 Aug
Serikali yatakiwa kutimiza ahadi za ujenzi wa zahanati kwa kila kata
Diwani wa kata ya Ololosokwani na Mkurugenzi wa Irkiramat Foundation (RAMAT) Bw. Yannick Ikayo Ndoinyo akiangalia kitanda cha kujifungulia wakimama kwenye Zahanati ya Sero ambayo kwa siku inatibu wagonjwa 50 na zaidi ikiwa na daktari mmoja huku wakazi wanaofuata huduma hiyo kutoka kata hiyo na ya jirani Soitosambu kutembea umbali mrefu kwa Kilometa 7-15 kupata huduma ya afya.(Picha Zainul Mzige wa MOblog)
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro
Wakazi wa vijiji vya Ololosokwan, Soit-Sambu, Njoroi na...
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Ridhiwani aanza kutimiza ahadi, awashukuru wananchi kwa kumchagua Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mmasai mwenye jamii ya...
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Rais Lungu ana ‘kibarua’ kutimiza ahadi lukuki alizotoa kwa Wazambia
11 years ago
TheCitizen26 Jun
Aveva: My vision for Simba SC